Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Nlikuwa napita tu nikataka nisiseme neno! Nlipofika mbele kidogo nkakumbuka nina swali! Kungwi embu tujuze na wale wanaofahamu huyu mumewe Lizzy afu anamtumis text za kiuchokozi naye ahudumiwe?
Akili yako ina akili sana Lizzy. Hawa Wamama kazi kwenu. Msiendekeze uvivu vivu halafu manakuja kulalamika hapa
Lizzy we noma hivi umeolewa au?
weee!
Ujue umeshakuwa mkubwa ivoo!
Law ya use and misuse
utaamka siku moja hakipo,
shaurilo
usije lalamika kwamba hatukutahadharisha
Hahahahaha. . . una ng'ombe wangapi?
Ha ha ha Mkuu usije ukaniibia bureeeee... Any way nitamwambia kuna jamaa fulani anakusalimia sana ingawa ni kweli nampenda sana. Hata hivyo nimefanya kila namna mpaka akakutana na ujumbe huu wa Kungwi wetu Lizzy.Dah Gerrard huyo kwenye avatar ndo shemeji nini! Inaelekea unampenda sana! Msalimie jamaa yangu
Weee. . . akiufanyia kazi usikose kurudisha feedback.Ha ha ha Mkuu usije ukaniibia bureeeee... Any way nitamwambia kuna jamaa fulani anakusalimia sana ingawa ni kweli nampenda sana. Hata hivyo nimefanya kila namna mpaka akakutana na ujumbe huu wa Kungwi wetu Lizzy.
Hapa hapa live... feedback itapatikana. Ngoja nifanye research weekend hii kama kuna mambo mapya, japo kwa mbali nimeanza kuhisi somesing new!!!!!!!!!Weee. . . akiufanyia kazi usikose kurudisha feedback.
Kwenye kujua kusoma alama za nyakati na kutambua kuwa hapa ninachokozwa au ninahitajiwa 😆😆Hahahaha lecture kwenye nyanja ipi?