Back up system ya Umeme

Back up system ya Umeme

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,975
Wadau habari za Jumamosi?

Naomba kujua kama kuna fundi wa umeme humu JF anayeweza kunisaidia kujua ni vifaa gani vinafaa kwa ajili ya kuhifadhi umeme na kutumia pindi umeme utakapokatika.

Nina nyumba ya vyumba 6,sebule,jiko na dining.Nahitaji kupata mfumo ambao utaniwezesha kufifadhi umeme, na kutumia kuwasha taa,kuangalia TV, kutumia computer na kuchaji simu.

Niliwahi kuona miaka ya nyuma nyumbani kwa mtu kafunga inventer,betri za gari nk,sina uhakika wa vifaa husika,kwa hiyo naomba mwenye kujua anipe maelezo na akiwezekana, aje kunifungia mara tutakapoelewana.Ntafurahi kuona mchanganuo wa ununuzi wa vifaa na labour charge yako.

Nyumba ipo Arusha.

Asante sana.
 
Wadau habari za Jumamosi?

Naomba kujua kama kuna fundi wa umeme humu JF anayeweza kunisaidia kujua ni vifaa gani vinafaa kwa ajili ya kuhifadhi umeme na kutumia pindi umeme utakapokatika.

Nina nyumba ya vyumba 6,sebule,jiko na dining.Nahitaji kupata mfumo ambao utaniwezesha kufifadhi umeme, na kutumia kuwasha taa,kuangalia TV, kutumia computer na kuchaji simu.

Niliwahi kuona miaka ya nyuma nyumbani kwa mtu kafunga inventer,betri za gari nk,sina uhakika wa vifaa husika,kwa hiyo naomba mwenye kujua anipe maelezo na akiwezekana, aje kunifungia mara tutakapoelewana.Ntafurahi kuona mchanganuo wa ununuzi wa vifaa na labour charge yako.

Nyumba ipo Arusha.

Asante sana.

nipm namba yako
 
Wadau habari za Jumamosi?

Naomba kujua kama kuna fundi wa umeme humu JF anayeweza kunisaidia kujua ni vifaa gani vinafaa kwa ajili ya kuhifadhi umeme na kutumia pindi umeme utakapokatika.

Nina nyumba ya vyumba 6,sebule,jiko na dining.Nahitaji kupata mfumo ambao utaniwezesha kufifadhi umeme, na kutumia kuwasha taa,kuangalia TV, kutumia computer na kuchaji simu.

Niliwahi kuona miaka ya nyuma nyumbani kwa mtu kafunga inventer,betri za gari nk,sina uhakika wa vifaa husika,kwa hiyo naomba mwenye kujua anipe maelezo na akiwezekana, aje kunifungia mara tutakapoelewana.Ntafurahi kuona mchanganuo wa ununuzi wa vifaa na labour charge yako.

Nyumba ipo Arusha.

Asante sana.

power backup inaundwa na charging system,charge reservoir (battery),dc to ac inverter
charging system,inaweza kuwa ya solar pekee au hybrid(yaani inayoweza kuchaji kutumia main power na solar kwa pamoja)hii nairecommend
inverter;hii hutumika kubadili umeme wa betri kuja umeme wa kawaida wa nyumbani size hutofautiana kulingana na mahitaji
betri;hiki ndicho kihifadhi umeme
 
Sawa mkuu,mimi ninahitaji chanzo kiwe UMEME wa TANESCO sina Solar.Mahitaji yangu ni kama nilivyoelekeza mwanzo wa uzi uzi wangu,ikiwezekana nipe cost.

power backup inaundwa na charging system,charge reservoir (battery),dc to ac inverter
charging system,inaweza kuwa ya solar pekee au hybrid(yaani inayoweza kuchaji kutumia main power na solar kwa pamoja)hii nairecommend
inverter;hii hutumika kubadili umeme wa betri kuja umeme wa kawaida wa nyumbani size hutofautiana kulingana na mahitaji
betri;hiki ndicho kihifadhi umeme
 
  • Wasiliana na ndugu Transistor
  • Atakutengenezea power back up kulingana na vifaa ulivyonavyo
Wadau habari za Jumamosi?

Naomba kujua kama kuna fundi wa umeme humu JF anayeweza kunisaidia kujua ni vifaa gani vinafaa kwa ajili ya kuhifadhi umeme na kutumia pindi umeme utakapokatika.

Nina nyumba ya vyumba 6,sebule,jiko na dining.Nahitaji kupata mfumo ambao utaniwezesha kufifadhi umeme, na kutumia kuwasha taa,kuangalia TV, kutumia computer na kuchaji simu.

Niliwahi kuona miaka ya nyuma nyumbani kwa mtu kafunga inventer,betri za gari nk,sina uhakika wa vifaa husika,kwa hiyo naomba mwenye kujua anipe maelezo na akiwezekana, aje kunifungia mara tutakapoelewana.Ntafurahi kuona mchanganuo wa ununuzi wa vifaa na labour charge yako.

Nyumba ipo Arusha.

Asante sana.
 
Last edited by a moderator:
Mambo yote tuyamalizie hapa jukwaani kwa faida ya watu wengine pia,mambo ya PM hakuna.!!

siyo tatizo,unahitaji inverter ya dc to ac standard watts 500 kwa betri moja la volt 12,inverter kubwa inabidi utumie betri mbili,betri zuri ni 200AH,Linatunza umeme mpaka utauchoka.inverter zimetofautiana kimuundo kuna ambazo Zina charging system hapo kwa hapo,zingine zinahitaji charger ya nje.aina ya kwanza itakufaa,pia inabidi inverter iwe ni pure sine wave,maana kuna vifaa huwa vinakataa aina zingine za mikondo ya umeme, nitakufungia change over switch ndogo kwa ajili ya kubadili kutoka supply ya TANESCO kwenda inverter umeme ukikatika.installation charge yangu ni 300000 cash kwa kazi ya uhakika.
 
Asante mkuu kwa maelezo yanayoeleweka,wewe upo wapi kwa sasa? Nyumba tayari ina change over switch, nipe total cost ya manunuzi ya hivyo vifaa ulivyotaja.Naomba bei yako ya mwisho ya hii kazi,uliyoandika siiwezi. Shukrani.


siyo tatizo,unahitaji inverter ya dc to ac standard watts 500 kwa betri moja la volt 12,inverter kubwa inabidi utumie betri mbili,betri zuri ni 200AH,Linatunza umeme mpaka utauchoka.inverter zimetofautiana kimuundo kuna ambazo Zina charging system hapo kwa hapo,zingine zinahitaji charger ya nje.aina ya kwanza itakufaa,pia inabidi inverter iwe ni pure sine wave,maana kuna vifaa huwa vinakataa aina zingine za mikondo ya umeme, nitakufungia change over switch ndogo kwa ajili ya kubadili kutoka supply ya TANESCO kwenda inverter umeme ukikatika.installation charge yangu ni 300000 cash kwa kazi ya uhakika.
 
Wadau habari za Jumamosi?

Naomba kujua kama kuna fundi wa umeme humu JF anayeweza kunisaidia kujua ni vifaa gani vinafaa kwa ajili ya kuhifadhi umeme na kutumia pindi umeme utakapokatika.

Nina nyumba ya vyumba 6,sebule,jiko na dining.Nahitaji kupata mfumo ambao utaniwezesha kufifadhi umeme, na kutumia kuwasha taa,kuangalia TV, kutumia computer na kuchaji simu.

Niliwahi kuona miaka ya nyuma nyumbani kwa mtu kafunga inventer,betri za gari nk,sina uhakika wa vifaa husika,kwa hiyo naomba mwenye kujua anipe maelezo na akiwezekana, aje kunifungia mara tutakapoelewana.Ntafurahi kuona mchanganuo wa ununuzi wa vifaa na labour charge yako.

Nyumba ipo Arusha.

Asante sana.

Habari mkuu bahati nzuri mm nipo Arusha kwa sasa,nimekuja kufunga AVB huku,kama utaweza tuwasiliane kabla haijapita tarehe 16/12/14 namba ni 0657-11557
 
Namba yako ya simu haijakamilika mkuu.

Habari mkuu bahati nzuri mm nipo Arusha kwa sasa,nimekuja kufunga AVB huku,kama utaweza tuwasiliane kabla haijapita tarehe 16/12/14 namba ni 0657-11557
 
Wadau habari za Jumamosi?

Naomba kujua kama kuna fundi wa umeme humu JF anayeweza kunisaidia kujua ni vifaa gani vinafaa kwa ajili ya kuhifadhi umeme na kutumia pindi umeme utakapokatika.

Nina nyumba ya vyumba 6,sebule,jiko na dining.Nahitaji kupata mfumo ambao utaniwezesha kufifadhi umeme, na kutumia kuwasha taa,kuangalia TV, kutumia computer na kuchaji simu.

Niliwahi kuona miaka ya nyuma nyumbani kwa mtu kafunga inventer,betri za gari nk,sina uhakika wa vifaa husika,kwa hiyo naomba mwenye kujua anipe maelezo na akiwezekana, aje kunifungia mara tutakapoelewana.Ntafurahi kuona mchanganuo wa ununuzi wa vifaa na labour charge yako.

Nyumba ipo Arusha.

Asante sana.

Nicheki hapa 0787577755 nikufanyie kazi yako.
 
siyo tatizo,unahitaji inverter ya dc to ac standard watts 500 kwa betri moja la volt 12,inverter kubwa inabidi utumie betri mbili,betri zuri ni 200AH,Linatunza umeme mpaka utauchoka.inverter zimetofautiana kimuundo kuna ambazo Zina charging system hapo kwa hapo,zingine zinahitaji charger ya nje.aina ya kwanza itakufaa,pia inabidi inverter iwe ni pure sine wave,maana kuna vifaa huwa vinakataa aina zingine za mikondo ya umeme, nitakufungia change over switch ndogo kwa ajili ya kubadili kutoka supply ya TANESCO kwenda inverter umeme ukikatika.installation charge yangu ni 300000 cash kwa kazi ya uhakika.

Kwa nini usimshauri aweke inverter charger ambayo TANESCO power is one of the input to it..?? Kwamba you have DC input from the battey bank and AC input from TANESCO. The switching is internal (i.e is within inverter charger itself... built in) you do not need to install an external changeover switch. Cha msingi ni kujuwa total load yake ili kupiga hesabu za size ya hiyo inverter charger
 
siyo tatizo,unahitaji inverter ya dc to ac standard watts 500 kwa betri moja la volt 12,inverter kubwa inabidi utumie betri mbili,betri zuri ni 200AH,Linatunza umeme mpaka utauchoka.inverter zimetofautiana kimuundo kuna ambazo Zina charging system hapo kwa hapo,zingine zinahitaji charger ya nje.aina ya kwanza itakufaa,pia inabidi inverter iwe ni pure sine wave,maana kuna vifaa huwa vinakataa aina zingine za mikondo ya umeme, nitakufungia change over switch ndogo kwa ajili ya kubadili kutoka supply ya TANESCO kwenda inverter umeme ukikatika.installation charge yangu ni 300000 cash kwa kazi ya uhakika.
je hio change over yako sita notice umeme ukikata?
 
Kwa nini usimshauri aweke inverter charger ambayo TANESCO power is one of the input to it..?? Kwamba you have DC input from the battey bank and AC input from TANESCO. The switching is internal (i.e is within inverter charger itself... built in) you do not need to install an external changeover switch. Cha msingi ni kujuwa total load yake ili kupiga hesabu za size ya hiyo inverter charger
Kuna inverter za kuswich zenyewe mkuu?
 
HAKUNA SYSTEM YA TANESCO INAYORUHUSU KUFANYA HIVYO ZAIDI ZAIDI UNAHITAJI UWE NA BATTERY LA GARI NA INVETOR AMBAPO HAUTAKIZI MATUMIZI UNAYOYATAKA UTAWEZA KUCHAJIA SIMU,TAA NA RADIO TU
 
HAKUNA SYSTEM YA TANESCO INAYORUHUSU KUFANYA HIVYO ZAIDI ZAIDI UNAHITAJI UWE NA BATTERY LA GARI NA INVETOR AMBAPO HAUTAKIZI MATUMIZI UNAYOYATAKA UTAWEZA KUCHAJIA SIMU,TAA NA RADIO TU
HUJUI ULISEMALO
 
Back
Top Bottom