Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Asiye jua kufa,achungulie kaburi;ndivyo wahenga walituasa!
BAN isikieni redioni tu,ila usiombe yakukute!
Baada ya takribani siku 17 za kusota jela,hatimaye nimefunguliwa{Kwa hisani ya MODS,Lol!}
Nawashukuru kwa kipekee Invisible na timu yake kwa kunitupa jela,kwani kumeniongezea nidhamu!
Nawashukuru marafiki wote wa CC,ambao baadhi walinipigia simu,kunitumia sms na kujumuika kivingine!
NILIWAMISS SANA!!
cacico manoah Ishmael Baba V charminglady Sefet Erickb52 Arushaone AshaDii Ruttashobolwa Free Thinker(KWA SABABU MAALUM) Kipipi byna Chilli Chimbuvu watu8 Madame B sister Rosweeter Radhia Sweety Rutashubanyuma FJM Raia Fulani Beautiful Lady,jinga la falsafa MwanaFalsafa1 Buchanan tedo and all others!
Tulisongeshe kwa pamoja!
MUCH LOVE!
BAN isikieni redioni tu,ila usiombe yakukute!
Baada ya takribani siku 17 za kusota jela,hatimaye nimefunguliwa{Kwa hisani ya MODS,Lol!}
Nawashukuru kwa kipekee Invisible na timu yake kwa kunitupa jela,kwani kumeniongezea nidhamu!
Nawashukuru marafiki wote wa CC,ambao baadhi walinipigia simu,kunitumia sms na kujumuika kivingine!
NILIWAMISS SANA!!
cacico manoah Ishmael Baba V charminglady Sefet Erickb52 Arushaone AshaDii Ruttashobolwa Free Thinker(KWA SABABU MAALUM) Kipipi byna Chilli Chimbuvu watu8 Madame B sister Rosweeter Radhia Sweety Rutashubanyuma FJM Raia Fulani Beautiful Lady,jinga la falsafa MwanaFalsafa1 Buchanan tedo and all others!
Tulisongeshe kwa pamoja!
MUCH LOVE!
Last edited by a moderator: