Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Baada ya kunyimwa kula kwa karibu wiki moja na nusu kwa sababu nimeweka avatar inayonionesha kama nasokota bangi na niko mshambamshamba nilijifanya miye mgumu. Bi mkubwa hataki kusikia wala kuhubiriwa ilikuwa ni kutoa avatar au kuendelea kunyimwa "mkate wa kila siku". Nikijionesha kuwa nimekomaa katika fani ya siasa na ushawishi nimejikuta kama kajibwa koko nasalimu amri..
Kwa kweli dada zetu msiwe mnatuadhibu hivi... kwa kweli huu ni unyanyasaji wa kijinsia!! Wakati mwingine a man has to make the wisest and the boldest of decisions just to remain in the play zone..
Kwa kweli dada zetu msiwe mnatuadhibu hivi... kwa kweli huu ni unyanyasaji wa kijinsia!! Wakati mwingine a man has to make the wisest and the boldest of decisions just to remain in the play zone..