MAHANJU JF-Expert Member Joined Aug 26, 2014 Posts 5,255 Reaction score 8,027 Nov 4, 2015 #1 Hii degree ikoje wadau? Ina tofauti gani na MD kwenye ajira? Naelewa ndio pale wengi ni CO lakini vipi hadhi ya hii kozi?
Hii degree ikoje wadau? Ina tofauti gani na MD kwenye ajira? Naelewa ndio pale wengi ni CO lakini vipi hadhi ya hii kozi?
Neils bohr Member Joined Aug 27, 2015 Posts 94 Reaction score 92 Nov 4, 2015 #2 inatolewa chuo gani mkuu ??
MAHANJU JF-Expert Member Joined Aug 26, 2014 Posts 5,255 Reaction score 8,027 Nov 4, 2015 Thread starter #3 Neils bohr said: inatolewa chuo gani mkuu ?? Click to expand... Hapa kwetu inatolewa St.Joseph university! Kenya Jomo Kenyatta na Egarton universities vinatoa kozi hiyo.
Neils bohr said: inatolewa chuo gani mkuu ?? Click to expand... Hapa kwetu inatolewa St.Joseph university! Kenya Jomo Kenyatta na Egarton universities vinatoa kozi hiyo.
C Chiya Chibi JF-Expert Member Joined Jul 6, 2011 Posts 484 Reaction score 110 Nov 4, 2015 #5 Bachelor of Science in Clinical Medicine, ufafanuzi Pitia hapo, nadhan utapata majibu ...!!
J jafari mwijae Senior Member Joined Jan 9, 2014 Posts 181 Reaction score 39 Nov 4, 2015 #6 Tofauti ni hipi na doctor of medicine ya pale muhas? Je criteria zipi za kujiunga na hiyo programu ?
J jafari mwijae Senior Member Joined Jan 9, 2014 Posts 181 Reaction score 39 Nov 4, 2015 #7 Je kwa aliyehitimu uuguzi na ukunga stashaada anafursa ya kusoma? Vilevile kwa cbg nao wanafursa! Msaada kwa maelezo
Je kwa aliyehitimu uuguzi na ukunga stashaada anafursa ya kusoma? Vilevile kwa cbg nao wanafursa! Msaada kwa maelezo
MAHANJU JF-Expert Member Joined Aug 26, 2014 Posts 5,255 Reaction score 8,027 Nov 4, 2015 Thread starter #8 jafari mwijae said: Je kwa aliyehitimu uuguzi na ukunga stashaada anafursa ya kusoma? Vilevile kwa cbg nao wanafursa! Msaada kwa maelezo Click to expand... Lazima uwe na clinical officer ndugu yangu.
jafari mwijae said: Je kwa aliyehitimu uuguzi na ukunga stashaada anafursa ya kusoma? Vilevile kwa cbg nao wanafursa! Msaada kwa maelezo Click to expand... Lazima uwe na clinical officer ndugu yangu.