Kumbe nayo inahesabika kma course ya education et?Kaipige unaweza kuja kuwa mwalimu au kufanya kazi za mtakwimu jamaa niliyesoma naye kapangiwa morogoro ualimu wa hesabu na serikali pia kwenye nafasi za takwimu huwa nilikuwa nikienda kufanya naye interview
Daa ni bora uwahi mapema ukabadili uombe statistics yenyewe, au actuarial science.ila actuarial nafasi huwa nichache. Hiyo haina utofauti na general science aliye specialize kwenye mt na statistics ,ukishindwa kabisa nenda economics and statistics huta jutia Hayo ma MT yayakusumbua bure halafu kwenye kazi unapigwa bao na watu wa actuarial science, statistics na economicsJaman mwenywe uelewa kuhusu course hiyo course apo
Jamaa wangu amepangiwa kabisa ualimu wa hesabu amesoma hiyo kozi ya bachelor of science in mathematics amemaliza chuo 2016 pia ukisoma hiyo bachelor of science in mathematic and statistics ya mwenge ni nzuri pia unaweza ukaja kuwa mwalimu wa hesabu kama serikali itahitaji walimu wa science zaidiKumbe nayo inahesabika kma course ya education et?
Bachelor of science in Mathematics anajairiwa kama mwalimu???Jamaa wangu amepangiwa kabisa ualimu wa hesabu amesoma hiyo kozi ya bachelor of science in mathematics amemaliza chuo 2016 pia ukisoma hiyo bachelor of science in mathematic and statistics ya mwenge ni nzuri pia unaweza ukaja kuwa mwalimu wa hesabu kama serikali itahitaji walimu wa science zaidi




Asnte kwa ushauriBachelor of science in Mathematics anajairiwa kama mwalimu???
Aisee hii ni mpya na sijawahi ona,
Siamini kabisa kama serikali inawaajiri hawa jama kama walimu, hawasomi koz yeyote ya education chuon, kuandika lesson plan, scheme of work, wala field hawaend mashulen kufundisha sasa atakuwaje mwalimu???
Kama huyo jamaa kaajiriwa basi n jipu moja hatari tena limeiva
Na ninauhakika atakuwa kawekwa ju juu huko, hakuna wa kuajir watu kama hao kama walimu
Aisee kumbe tz imefika huku,
Dogo kama unataka kusoma ualimu, soma koz yenye education, hizo nyingine hazihusian na ualimu kabisa
Bacholer of science with education
Bachelor of education in science
Bachelor of education in mathatiics
N. K hizo ndio koz za ualimu
Koz yeyote ya ulaimu ina neno
EDUCATION, usije kujutia badae