Og epysam
Member
- Jul 14, 2019
- 42
- 20
Habari wakubwa natumaini ni wazima wa afya.
Nami napenda kuchukua nafasii hii kuwaomba ushauri katika hii. Nimechaguliwa Bachelor of Science in Information Technology katika chuo tajwa apo juu.
Naombeni ushauri wenu kuhusu hii kozi naddo cjafanya confirmation napenda kupewa #hits kuhusu chuo
Kwa upande wa ufundishaji na mambo muhimu kuhusu hii kozi.
Natumaini nitapata ushauri kutoka kwenu mana mpo mlionizidi elimu na experience.
Nami napenda kuchukua nafasii hii kuwaomba ushauri katika hii. Nimechaguliwa Bachelor of Science in Information Technology katika chuo tajwa apo juu.
Naombeni ushauri wenu kuhusu hii kozi naddo cjafanya confirmation napenda kupewa #hits kuhusu chuo
Kwa upande wa ufundishaji na mambo muhimu kuhusu hii kozi.
Natumaini nitapata ushauri kutoka kwenu mana mpo mlionizidi elimu na experience.