Bachelor of Science in Biology

Bachelor of Science in Biology

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,062
ndugu zanguni natumainibwazima wa afya, eti ukisoma course ya BSc in biology utakuja kuwa nani au utafanya shughuli gani???
naomben mnieleweshe ajirabzake nimeiona university of bagamoyo na udom
 
Hawezi kuwa mwalimu

Hii kozi application yake ni narrow sana

Kama umesoma science kwani huombi koz kama

Bsc ed
Bpharm
Bsc comp science
Bsc architecture
 
The same case

Hizo kozi hazimuandawi mtaalamu yeyote ( proffesional)bali ni mwenye knowledge ya chemistry ambayo unaweza itumia viwandani


Kwa nchi kama zetu kozi kama hy haina tija kbs

Bora kozi kama

Bsc.Microbiology

Bsc. In biotechnology
 
The same case

Hizo kozi hazimuandawi mtaalamu yeyote ( proffesional)bali ni mwenye knowledge ya chemistry ambayo unaweza itumia viwandani


Kwa nchi kama zetu kozi kama hy haina tija kbs

Bora kozi kama

Bsc.Microbiology

Bsc. In biotechnology
Umesema knowledge ya chem unaeza tumia viwandani alafu unasema kwa hapa kwetu haina tija?? Ina maana hapa kwetu hamna viwanda??? Na kama haina tija ilianzishwa ya nini???
Je microbiology (possibly ya udsm) na hiyo biology zina tofauti gani??? Acha kudanganya watu.
 
Umesema knowledge ya chem unaeza tumia viwandani alafu unasema kwa hapa kwetu haina tija?? Ina maana hapa kwetu hamna viwanda??? Na kama haina tija ilianzishwa ya nini???
Je microbiology (possibly ya udsm) na hiyo biology zina tofauti gani??? Acha kudanganya watu.

Huyo nahisi anasoma kozi mojawapo kati ya hizo ndio maana anaponda me nimemshangaa kiukwel kz Ud chemistry ipo na baada ya udom kuanzishwa hiyo kozi ikawepo pia sa sijui jamaa ana evidence zp za kusema wakemia hawaitajiki nchi hii
 
Huyo nahisi anasoma kozi mojawapo kati ya hizo ndio maana anaponda me nimemshangaa kiukwel kz Ud chemistry ipo na baada ya udom kuanzishwa hiyo kozi ikawepo pia sa sijui jamaa ana evidence zp za kusema wakemia hawaitajiki nchi hii

Sasa tz kuna viwanda vingapi?

Tena si viwanda vya aina zote inahitaji mtu wa aina hy



Uje hapa tunaamgalia kitu chenye wide application na fursa kubwa za ajira


Kuanzisha kozi kwa chuo ni suala la jengine na upatikanaji wake ni suala lengine



Usisome kitu ili nawe uitwe ina shahada
 
Sasa tz kuna viwanda vingapi?

Tena si viwanda vya aina zote inahitaji mtu wa aina hy



Uje hapa tunaamgalia kitu chenye wide application na fursa kubwa za ajira


Kuanzisha kozi kwa chuo ni suala la jengine na upatikanaji wake ni suala lengine



Usisome kitu ili nawe uitwe ina shahada

Naona bado haulewi unachoongea. Kaa tuliza akili ndio uongee.
 
naifananisha kama mkemia mkuu wa .wa serikali alisoma chemisrty, sasa huyo mwana biolojia sijui anakuwa nani! why usisome nursing mkuu? au education kabisa maana nawaona watu bsc mathematics, chemistry, biology wanakosa kazi wanafundisha tuuu baada yakusugua gaga,
 
Unaweza ukafit kwenye asasi nyingi tu za kiserikali na binafsi km Mashirika ya vyakula FAO, Mifugo nk
 
naifananisha kama mkemia mkuu wa .wa serikali alisoma chemisrty, sasa huyo mwana biolojia sijui anakuwa nani! why usisome nursing mkuu? au education kabisa maana nawaona watu bsc mathematics, chemistry, biology wanakosa kazi wanafundisha tuuu baada yakusugua gaga,

Duuh me sidhani mbona kuna watu wengi nawafahamu wapo TBS na wengine wapo migodini huko wamesoma chemistry... labda GPA yako iwe ya chini ndio utasugua gaga
 
Duuh me sidhani mbona kuna watu wengi nawafahamu wapo TBS na wengine wapo migodini huko wamesoma chemistry... labda GPA yako iwe ya chini ndio utasugua gaga

Kwa TBS ni sawa lakini kwa migodini nafasi ni finyu sana asee advantagr wanapata wenye fani meterllogical sana kitengo hicho cha chemical.
 
Wakuu naombeni munijuze, je mtu anaweza pata mkopo akisoma bachelor of science in biology ?, pia kama umepangwa hii kozi unaweza kuhamia education na kupewa mkopo ?. nawasilisha wakuu
 
unaweza kuwa mkemia mkuu. pia kufanya kaz viwandani, mf chemical industry za production za vitu mbali mbali kama vinywaji n.k
 
Back
Top Bottom