ajira zake ni ngumu sana
huwezi kusoma QS bila basic knowledge ya construction, so youneed either of the three, B.E, C.M or Building Survey.. you become a quantity survyor ukisha fanya mitihani ya bodi na kusajiliwa..waungwana,naombeni mnipe mwongozo kati ya hizo kozi tatu hapo juu ni ipi nzuri,nafikiria kusoma mojawapo mwaka huu.na je mtu aliyesoma HGE ataweza kuchaguliwa kweli?asanten