Wakuu, poleni na majukumu mdogo wangu alichaguliwa BaEd DUCE ila leo udom kachaguliwa environmental disaster.. Kama mdau mzuri wa elimu na uelewa wako please asaidiwe aende course ipi kati ya hizo msaada wa haraka ndugu zangu...
Wee unaijua kesho....acha mambo ya mvuringo mkuuHiyo ada ni bora akafungue mashamba tu... walimu wanamiaka mi3 no ajira na private ndo hamna kitu.. hyo environmental sijawahi ona hata tangazo la ajira yake..
Hadi saiz hajaconfim anaenda wapi????...mwaka huu TCU wanachinja viumbeWakuu, poleni na majukumu mdogo wangu alichaguliwa BaEd DUCE ila leo udom kachaguliwa environmental disaster.. Kama mdau mzuri wa elimu na uelewa wako please asaidiwe aende course ipi kati ya hizo msaada wa haraka ndugu zangu...
Ahsante kwa ushauri mkuuMaisha ni kupambana ..kama huyo dogo anatamanj kuja kujiendeleza baadae katika masuala ya elimu yaan masters na PhD ni bora achukue hiyo environmental and disaster management atakuwa na chance ya kudiverge na Ku specialize katika field za sayansi hasa katika mazingira...
Ni hayo tu.