BACHELOR IN MEDICAL LABORATORY SCIENCE

BACHELOR IN MEDICAL LABORATORY SCIENCE

GOJA

Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
15
Reaction score
8
Wakuu ...naomba kujuzwa kiundani kuhusu hii course. ..
Ajira zake zikoje ?
Salary(take home)

Je wanaweza kufanya kazi maeneo yapi?



Wakuu naomba msaada wenu
 
Hiyo kozi ni ya utaalamu wa Maabara. Ina ajira Serekali. Pia unaweza kujiajiri kwa kufungua MAABARA YAKO
 
Labda ujiajiri mwenyewe au uajiriwe na watu binafsi,serikalini hutapata ajira

Jirani yangu mwaka wapili hana dalili ya kupata kazi
 
Labda ujiajiri mwenyewe au uajiriwe na watu binafsi,serikalini hutapata ajira

Jirani yangu mwaka wapili hana dalili ya kupata kazi
Mkuu huyo jirani yako ana bachelor?
 
Serikali hatuna vifaa vya kutosha kwenye hospitali zetu hivyo hawa waliosoma mambo ya maabara kwa sasa hivi hatuajiri tena labda mpaka baadaye sana! Private watakulipa si chini ya laki 4.5 na si zaidi ya laki 6.
 
Wakuu ...naomba kujuzwa kiundani kuhusu hii course. ..
Ajira zake zikoje ?
Salary(take home)

Je wanaweza kufanya kazi maeneo yapi?



Wakuu naomba msaada wenu
Ni Kozi Nzuri Na Unafanya Kazi Kwenye Maabara Za Hospitali Ila Lazima Ujue Utahusika Na ,

- Damu

- Vinyesi

- Mkojo
Maisha Yako Yote Uwapo Kazini.

Kuhusu Mshahara, Acha Tamaa Soma Kwanza Kama Unaipenda Kada
 
Labda ujiajiri mwenyewe au uajiriwe na watu binafsi,serikalini hutapata ajira

Jirani yangu mwaka wapili hana dalili ya kupata kazi
Muulize Vizuri Itakuwa Ni Maabara Nyingine Kabisa - Hiyo Aliyoitaja Mleta Mada Ajira Zake Nje Nje - Serikalini , Sekta Binafsi Au Hata Ukitaka Kufungua Maabara Yako Mwenyewe

- Tena Ukisoma Chuoni Unapata Stahiki Zote Kuanzia Boom Mpaka Internships Moja Kwa Moja
 
Jiajiri kama unataka pesa mingi ndugu
 
Hii course ina kipaumbe kama course zingine za afya na ajira serikali zipo njenje kama Udaktar,Famasia,Uuguzi(nurse) na taaluma ya Mionzi.Pia waatalam wake kwa ngazi ya degree ni wachache hapa nchini.
 
Serikali hatuna vifaa vya kutosha kwenye hospitali zetu hivyo hawa waliosoma mambo ya maabara kwa sasa hivi hatuajiri tena labda mpaka baadaye sana! Private watakulipa si chini ya laki 4.5 na si zaidi ya laki 6.
Mkuu hizo porojo au ndo hali halisi?....
 
Wakuu ...naomba kujuzwa kiundani kuhusu hii course. ..
Ajira zake zikoje ?
Salary(take home)

Je wanaweza kufanya kazi maeneo yapi?



Wakuu naomba msaada wenu
Mm pia nasomea hio course, ww upo chuo gani?
 
Hii course ina kipaumbe kama course zingine za afya na ajira serikali zipo njenje kama Udaktar,Famasia,Uuguzi(nurse) na taaluma ya Mionzi.Pia waatalam wake kwa ngazi ya degree ni wachache hapa nchini.
Ivi mkuu kwa hiyo course una weza kuajiriwa TFDA,TBS..?
 
Mkuu hizo porojo au ndo hali halisi?....
Ndo hali halisi mwanawane hiyo! Si unaona hata kwa walimu tumeshatangaza kwamba hakuna tena kuajiri walimu wa art? Hii nchi wewe tuache tu! Ila kwa kozi yako hiyo "lenga mbali" wacha kulenga ajira za serikali! Hivi hujawahi kuiona fursa iliyopo kama ukifungua maabara yako? Nyingi zilizopo zinaendeshwa na vihiyo/vilaza.
 
Ndo hali halisi mwanawane hiyo! Si unaona hata kwa walimu tumeshatangaza kwamba hakuna tena kuajiri walimu wa art? Hii nchi wewe tuache tu! Ila kwa kozi yako hiyo "lenga mbali" wacha kulenga ajira za serikali! Hivi hujawahi kuiona fursa iliyopo kama ukifungua maabara yako? Nyingi zilizopo zinaendeshwa na vihiyo/vilaza.
Acha kufananisha afya na mambo ya kijinga mkuuuu
 
Ndo hali halisi mwanawane hiyo! Si unaona hata kwa walimu tumeshatangaza kwamba hakuna tena kuajiri walimu wa art? Hii nchi wewe tuache tu! Ila kwa kozi yako hiyo "lenga mbali" wacha kulenga ajira za serikali! Hivi hujawahi kuiona fursa iliyopo kama ukifungua maabara yako? Nyingi zilizopo zinaendeshwa na vihiyo/vilaza.
Bahati mbaya wananchi hawawezi kutofautisha kati ya msomi na kilaza!Nenda pale shinyanga,wababaishaji wanapiga bao ile mbaya halafu wasomi na digrii zao hakuna anayewajua.Inasemekana hawa hutumia masangoma kuvuta watu.Na huwa nashangaa sana,wale wanaofanya biashara kisomi huwa wanafeli sana!
 
Acha kufananisha afya na mambo ya kijinga mkuuuu
Huu ndo ujinga wenu nyie mnaojitia kusoma,, mimi nakushauri mambo mazuri unaniambia nafananisha afya na mambo ya kijinga? Ina maana walimu wa arts wanasomea vitu vya kijinga? Basi wewe jikalie hapo ukisubiri ajira za magufuli kama utatoboa!!
 
Ivi mkuu kwa hiyo course una weza kuajiriwa TFDA,TBS..?
Hii coz unaweza unaweza fanya kazi kweny medical institute eg:lab hosptal,research institute na food industrial pia. Kwa TFDA,TBS,NIMR its applicable
 
Back
Top Bottom