Bachelor degree ya international relations and diplomacy

Bachelor degree ya international relations and diplomacy

kizuiani

Member
Joined
Jul 12, 2020
Posts
73
Reaction score
130
Wadau wenye uelewa wa hii course ktk soko la ajira. Natafuta ushauli kabla ya kuisoma this year kuhusu upatikanaji wake wa ajira
 
Wadau wenye uelewa wa hii course ktk soko la ajira. Natafuta ushauli kabla ya kuisoma this year kuhusu upatikanaji wake wa ajira
hiyo ni kozi ya kukupa uelewa wa masuala ya dunia. Si kozi ya ajira au kujiajiri. Soma kozi ambayo hata usipojiajiri inaweza ikakusaidia ukajiajiri. Kama una God father mnene, soma
 
Hiyo kozi.options ni mbili Tu either umalize ujiajiri au uwe from walamba asali family
 
hiyo ni kozi ya kukupa uelewa wa masuala ya dunia. Si kozi ya ajira au kujiajiri. Soma kozi ambayo hata usipojiajiri inaweza ikakusaidia ukajiajiri. Kama una God father mnene, soma
Huyo godfather akifa je?

Dogo akasome kozi itakayo mwezesha kuajiriwa o kujiajiri.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hiyooo kozi, utafute chuo chako, Labda Chuo cha Diplomasia
 
Wadau wenye uelewa wa hii course ktk soko la ajira. Natafuta ushauli kabla ya kuisoma this year kuhusu upatikanaji wake wa ajira
Ni nzuri sana mi nimesoma hiyo degree na sasa nimeajiriwa kwenye NGO fulani, soma utimize ndoto zako usikatishwe tamaa ajira ni changamoto kwa fani zote

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
hiyo ni kozi ya kukupa uelewa wa masuala ya dunia. Si kozi ya ajira au kujiajiri. Soma kozi ambayo hata usipojiajiri inaweza ikakusaidia ukajiajiri. Kama una God father mnene, soma
Hata hayo masuala ya dunia yenyewe usipojiongeza mwenyewe, usitegemee utafundishwa class.darasani mnafundishwa theories tu.kuna jamaa angu aliisoma hiyo hapo udom sasa hivi kaishia kuwa mwalimu wa tution huku mtaani.
 
Back
Top Bottom