Abdi 00082
Member
- Mar 24, 2019
- 53
- 25
Wakuu naomba msaada kwa anayeifahamu hii kozi kwa undani, ukisoma unakuwa nani, soko la ajira liko vp kwa hii kozi, na inauhusiana na nn katika jamii. Nitashukuru kwa maoni yenu.
Mkuu Swala la ukisoma utakuwa nan toa kbsa kichwan mwko coz Elim ya Tz haitabiriki unaweza ukasoma MD na ukawa garbage collectorWakuu naomba msaada kwa anayeifahamu hii kozi kwa undani, ukisoma unakuwa nani, soko la ajira liko vp kwa hii kozi, na inauhusiana na nn katika jamii. Nitashukuru kwa maoni yenu.
Something to note:angalia coz nyngne ambayo unaielewa zaidi achana na hzi coz za kuzikutia ukubwanMkuu Swala la ukisoma utakuwa nan toa kbsa kichwan mwko coz Elim ya Tz haitabiriki unaweza ukasoma MD na ukawa garbage collector
Kwa hii tz ya viwonder na kama huna connections kaa mbali nayo.Wakuu naomba msaada kwa anayeifahamu hii kozi kwa undani, ukisoma unakuwa nani, soko la ajira liko vp kwa hii kozi, na inauhusiana na nn katika jamii. Nitashukuru kwa maoni yenu.
DoohKuna kozi zingine mnasoma alafu mnakuja kuhangaika mkikosa kazi
Hahahaha inamaana hawajapata ajira mpka Leo hiiJamaa zangu wa pale Mipango mpaka sasa wameamua kuwa wakulima wa vitunguu huko Mang'ula
Nashukuru sana mkuu kumbe ni kozi moja nzuri sanaRe Unasomea idadi ya watu na mipango ya maendeleo ,..afisa mipango ,afisa maendeleo ya jamii,mtafiti na mtakwimu wa maendeleo,afisa watu .ni possible carrier ......kuhusu ajira hamna mtu anayejua destiny ya mwwenzie