Bachelor Degree in Secretarial Studies and Public Administration

Katibu muhtasi, nadhan
 
umeelezea vizuri sana
 
na mimi naitaji kuendelea na degree ya secretary yangu maana umenitamanisha maana hapo tatoka na vitu vingi
 
Hii kozi kwa wanaume ipoje Nina tamani kujiunga na hiii kozi ila naogopa nisije nikajikuta mwanaume ni Mimi pekebyangu darasani. Na vipi kwenye ajira wanao pewa kipaombele ni wa Dada au wrote ni sawa??
 
Hii kozi kwa wanaume ipoje Nina tamani kujiunga na hiii kozi ila naogopa nisije nikajikuta mwanaume ni Mimi pekebyangu darasani. Na vipi kwenye ajira wanao pewa kipaombele ni wa Dada au wrote ni sawa??
ata wanaume wanapata tena wanapewa kipaombele sana sisi tulisomaga na mwanaume na aliwahi kupata ajira hadi sasa yuko mahakamani bunda
 
naomba unipe procedure za kujiunga hapo TPSC
 
Katika miundo ya utumishi hakuna kada yeyote inayoajiri mtu mwenye hiyo fani, unless mabadiliko yafanyike kwenye miundo iliyopo
mabadiliko yatafanyika maana wao TPSC si wehu kuanzisha kitu kama hakina ajira I hope mpaka wakamalize hao walio anza watakuta ajira zishafunguliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…