Raby Kilua
Senior Member
- Jul 12, 2013
- 128
- 23
Wakuu field kwenye hii programme ni wap hasa? Na je ajira zake zikoje maana elimu ya watu wazima siku hizi haipewi kipaumbele. Msaada kidogo hapa
Elimu hipi hiyo ya watuwazima?uchunguzi
Adult education ni field pana sana ILA inategemea upo chuo gani ni Udsm,Udom au Taasisi ya Adult ed, wana taratibu zao kuhusu field....
Nipo Udom Mkuu
Kwa Udom utachagua two teaching subject alafu field yako utakuwa shuleni ndo mnafanyia huko....
Kuhusu ajira tunahesabu kuwa ulipata tangu enzi zile za kisomo cha watu wazima, hivyo hatuangaiki na ww, mimi ndo mtendaji wa tume ya ajira bhana utaniambia nini ww!