Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wakuu,cna ugomvi wowote na my gal,ila cha kushangaza amenitumia hyo txt,nikambana na maswali machache,akanambia ana mambo yake ambayo asingependa kuniambia yanamsumbua sana kichwa chake and she need to be alone kwa muda wa kama wiki moja hvi,so nimpe space ayamalize kwanza.sasa wakuu,ivi inawezekana akawa ananiambia ukweli au ndo kuna mwenzangu ananisaidia kuhudumia?