Baby please,i need a space for a while!

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Wakuu,cna ugomvi wowote na my gal,ila cha kushangaza amenitumia hyo txt,nikambana na maswali machache,akanambia ana mambo yake ambayo asingependa kuniambia yanamsumbua sana kichwa chake and she need to be alone kwa muda wa kama wiki moja hvi,so nimpe space ayamalize kwanza.sasa wakuu,ivi inawezekana akawa ananiambia ukweli au ndo kuna mwenzangu ananisaidia kuhudumia?
 
inategemea kua umemzoea ni mtu wa dizain gani kama ni mtu wa stress na maswala mengine kama hayo hapo namaanisha kuna wale watu wanapenda kujirundikia matatizo yao pasipo kushirikisha watu wengine, lakini kama hujamzoea kua ni mtu wa stress basi hapo kuna kitu si bure
 
Samahani kuna uwezekano alikua mmoja wa wachumba wangu wawili wa zamani. Maana hio sentensi nimeambiwa hivyo hivyo TWICE halafu wakasepa. Ila tatizo kubwa ni kwamaba siwezi kubembeleza so baadae wanakuja kusema I didn't think you loved when you stayed very quite so I moved on :eek2: .
Hehehe. Women are from Venus I tell you.
Ila I am very sure kuna jamaa mwingine pembeni. Sasa with you around hawezi ku judge vizuri. Kwaio she needs to pull back ili imsaidie kuamua.
Hakuna matatizo mengine yanayoweza kumfanya ahitaji SPACE from her lover zaidi ya kuwa na potential lover mwingine.

My answer, if she has doubts than maybe we aint supposed to be together in the first place. Deuces!
 
Samahani kuna uwezekano alikua mmoja wa wachumba wangu wawili wa zamani. Maana hio sentensi nimeambiwa hivyo hivyo TWICE halafu wakasepa. Ila tatizo kubwa ni kwamaba siwezi kubembeleza so baadae wanakuja kusema I didn't think you loved when you stayed very quite so I moved on :eek2: .
Hehehe. Women are from Venus I tell you.
Ila I am very sure kuna jamaa mwingine pembeni. Sasa with you around hawezi ku judge vizuri. Kwaio she needs to pull back ili imsaidie kuamua.
Hakuna matatizo mengine yanayoweza kumfanya ahitaji SPACE from her lover zaidi ya kuwa na potential lover mwingine.

My answer, if she has doubts than maybe we aint supposed to be together in the first place. Deuces!

asante kwa maelezo yako man!
 
Space could mean

1.space
2.you are so boring
3.i have someone else who is my no 1
4.if i tell u the truth you wont accept it
5. i am evaluating our relationship..
6.its a step to dumping you..
7 anything...[/QUOTE
2}sidhan kama namboaga coz kwa cku huwa nampgia cmu jz mara moja tu{kila jioni}ili kumjulia hali.
3}nilimwambia awe free tu kama kuna mwngne kampata aniambie,bt alisema hakuna mtu mwngne{cjui kama ni kweli,maana physics ya wadada wewe mwenyewe unaijua ilivo ngumu kuisoma}
4}ye mwenyewe anajua me ni mwelewa,so cdhani kama ana haja ya kufichaficha.
5}mayb
6}no comment.
 
Wakuu,cna ugomvi wowote na my gal,ila cha kushangaza amenitumia hyo txt,nikambana na maswali machache,akanambia ana mambo yake ambayo asingependa kuniambia yanamsumbua sana kichwa chake and she need to be alone kwa muda wa kama wiki moja hvi,so nimpe space ayamalize kwanza.sasa wakuu,ivi inawezekana akawa ananiambia ukweli au ndo kuna mwenzangu ananisaidia kuhudumia?

Wiki moja si siku nyingi za kushindwa kumvumilia, hebu mpe hiyo space uone baada ya hapo ataamua nini! Ktk hali ya kawaida na kama kweli mtu anakupenda huwa nashindwa kuelewa inakuwaje mpenzio ashindwe kukueleza kile kinashousibu moyo wake mpaka aombe space, Loh!

Vingenevyo naunga mkono hoja ya The Boss kwenye definition yake kuhusu kuombwa space hapa chini!

Space could mean

1.space
2.you are so boring
3.i have someone else who is my no 1
4.if i tell u the truth you wont accept it
5. i am evaluating our relationship..
6.its a step to dumping you..
7 anything...
 
Last edited by a moderator:
Wakuu,cna ugomvi wowote na my gal,ila cha kushangaza amenitumia hyo txt,nikambana na maswali machache,akanambia ana mambo yake ambayo asingependa kuniambia yanamsumbua sana kichwa chake and she need to be alone kwa muda wa kama wiki moja hvi,so nimpe space ayamalize kwanza.sasa wakuu,ivi inawezekana akawa ananiambia ukweli au ndo kuna mwenzangu ananisaidia kuhudumia?
hakuna kitu kinaitwa a space katika mahusiano yaliyo kuwa kwenye mstari!kama anahitaji the space manake uhusiano wenu upo at stake kwa sababu pengine amegundua kitu cha tofauti kwako yani kuna vitu vibaya amevijua kukuhusu so anahitaji kujitafiti upya kama yupo sahihi au amepata mahusiano mengine so she need to quit!so kaa mkao wa kula!
 
Space could mean

1.space
2.you are so boring
3.i have someone else who is my no 1
4.if i tell u the truth you wont accept it
5. i am evaluating our relationship..
6.its a step to dumping you..
7 anything...


saluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuute!
 
Space ??! Kaa chonjo.
Moyo wa mtu ni kiza kinene alijisemea Saida Karoli. Ni msitu mnene haswa zaidi ya ule wa Mabwepande. Katu usiudharau moyo wa mwenzio maana hujui aliwazalo usijiaminishe kiasi hicho kwani siku akilishusha kombora wawezateketea kabisa kama umekumbwa na Bomu la Hiroshima!

Moyo wa mtu!!! acheni tu wapendwa.
 
Space could mean

1.space
2.you are so boring
3.i have someone else who is my no 1
4.if i tell u the truth you wont accept it
5. i am evaluating our relationship..
6.its a step to dumping you..
7 anything...

Mkuu umegonga mahala pake.
 
Space could mean

1.space
2.you are so boring
3.i have someone else who is my no 1
4.if i tell u the truth you wont accept it
5. i am evaluating our relationship..
6.its a step to dumping you..
7 anything...

The boss huwa unanifurahisha sana!
 
Wakuu,cna ugomvi wowote na my gal,ila cha kushangaza amenitumia hyo txt,nikambana na maswali machache,akanambia ana mambo yake ambayo asingependa kuniambia yanamsumbua sana kichwa chake and she need to be alone kwa muda wa kama wiki moja hvi,so nimpe space ayamalize kwanza.sasa wakuu,ivi inawezekana akawa ananiambia ukweli au ndo kuna mwenzangu ananisaidia kuhudumia?

One week is not enough, muongezee ONE YEAR, uone anavyorudisha mapenzi fasta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom