Baby Naomba...........

Baby Naomba...........

h120

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
2,545
Reaction score
3,368
1453222_587206348029173_1038363399_n.jpg
 
Mpe ni haki yake mbona mkiona wamependeza huko barabarani mnapagawa msione vyaelea.
 
Mpe ni haki yake mbona mkiona wamependeza huko barabarani mnapagawa msione vyaelea.

Mmmh,hata kama,,,,
Kusuka laki 2? Maisha yenyewe haya ya kitanzania?
Alafu sasa kama sijaona vibaya jamaa mwenyewe anatumia simu mchina, ndo atatoa laki 2?
 
Hapo naona anataka kufungua saloon sio kusuka. Hata Kama swala la kutumia hela ikuoee sio namna hii.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Acheni masihara na mishahara ya watu bana..!:heh:
 
Back
Top Bottom