Mpe ni haki yake mbona mkiona wamependeza huko barabarani mnapagawa msione vyaelea.
Mpe hela mbona wewe ukimwomba anakupa unavyotaka
Kama vyooote ninavyoomba ninapata,mimi natoa..Mpe hela mbona wewe ukimwomba anakupa unavyotaka
Nimempa anataka na laki moja ya kufumua.