Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Kama mtakumbuka malikuwepo kijana mmoja anaitwa BABU alikuwa anatibu magonjwa sugu likiwemo ukimwi kwa kusoma kuran...huyu jamaa alikuwa anakaa tegeta/bahari beach kwenye ghorofa kubwa na alikuwa magari ya kifahari....
yuko wapi siku hizi?
sisikii huduma zake tena? yupo wapi siku hizi??
yuko wapi siku hizi?
sisikii huduma zake tena? yupo wapi siku hizi??