VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
'Kigogo' mmoja wa Umoja wa 'Vijina' wa CCM(jina ninalo) amenidokeza kuwa kumbe yule Babu wa Loliondo ni mradi wa Waziri Mkuu Mjiuzulu,Edward Ngoyai Lowassa(Sanaa-UDSM).Amesema kuwa Lowassa alimwomba Babu ahamie Samunge ili ijengwe Miundombinu katika Jimbo lake la Monduli.Amedai kuwa Babu hakuanza kutoa 'tiba' akiwa pale alipo.Ananiambia kuwa hakuna yeyote anayeweza kupambana kisanii na Lowassa kwakuwa yeye ni msanii wa kusomea.Lowassa msanii wa kimataifa,anasisitiza.Bado naongea naye kigogo huyo