Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Juzi tarehe 18th April 2011 majira ya saa moja na robo asubuhi babu Mchungaji Ambilikile Mwasapila amewatahadhari wale wote wanaombeza na kumchukia wakiwemo Mchungaji Kakobe na Madaktari nchini na kuwataka waende Samunge kunywa dawa kwani yeye anafanya kazi ambayo Mungu amemwelekeza kufanya."wananichukia sana mimi babu lakini wanakosea kwani Mungu ndio wanayemchukia mimi ni mtumishi tuu.Mimi sitoi miti shamba bali Mungu ameniagiza nichemshe dawa ambayo ni mbadala wa neno lake niwapatie watu wapone maradhi yao.