mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,848
- 3,483
TUSUBIRIE WIMBO
Anasahau mwenzie alisema dini inamruhusu kuoa zaidi ya wake wanne. Anajipa pressure ya bure. Asili ya mtu ni asili ya mtu haiwezi kubadilika. Mondi ni mchafuzi sijui hajalitambua hilo?Ng'ombe hazeeki maini. Zari ajue kuwa drama za michepuko itakuwa kama kawa.
Kwani we ndo Romy mkuutuheshimiane
Akili mkichwa, bibi yupo macho kwny pesa tu na fame hakuna jingne.Dimond akijaribu kumuoa zari ndo utakua mwisho wake, siku akienda kufile divorce ndo atajua huyu demu akili mingi!
AsanteWivu wa nini mtoto wa kike, basi atakuoa wewe
Huyo rommy Jons anaoa au anaolewa??
Na ww unaolewatuheshimiane
Kayathibitisha hayo kwenye sherehe ya harusi ya Rommy Jons ambaye ni official dj wa Diamond. Babu Tale kauambia umma kupitia sherehe hiyo kuwa harusi ya Diamond na Zari ndo inayofuata baada ya majuma mawili kupita.
Kama aliyoyasema babu Tale ni ya kweli basi nawatakia maandalizi mema ya harusi yenu. But kwenye ukweli lazima niseme Diamond una moyo wa kiume na unafaa kuigwa na jamii kwa mzigo ulojitishwa, coz baada ya miaka kama mitano ijayo mke wako mtarajiwa anaingia menopause huku wewe ukiwa bado kinda kabisa najaribu tu kukukimbusha, but yote kwa yote waswahili wanasema, kipendacho roho.
Kila la kheri bwana mkubwa Naseeb na mpenzi wako kipenzi Zari.
Yan domo anaoa bibiake hv hv akiona
Dhaaa!!
Yan domo anaoa bibiake hv hv akiona
Dhaaa!!
Hapo kuna mtu anaenda kulizwa soonMirathi yote ile mlitaka imwagikie chini??
Haikuhusuuuuu!!Kayathibitisha hayo kwenye sherehe ya harusi ya Rommy Jons ambaye ni official dj wa Diamond. Babu Tale kauambia umma kupitia sherehe hiyo kuwa harusi ya Diamond na Zari ndo inayofuata baada ya majuma mawili kupita.
Kama aliyoyasema babu Tale ni ya kweli basi nawatakia maandalizi mema ya harusi yenu. But kwenye ukweli lazima niseme Diamond una moyo wa kiume na unafaa kuigwa na jamii kwa mzigo ulojitishwa, coz baada ya miaka kama mitano ijayo mke wako mtarajiwa anaingia menopause huku wewe ukiwa bado kinda kabisa najaribu tu kukukimbusha, but yote kwa yote waswahili wanasema, kipendacho roho.
Kila la kheri bwana mkubwa Naseeb na mpenzi wako kipenzi Zari.
Sawa bibi zari nimekusikiaHaikuhusuuuuu!!