Babu Tale athibitisha kuwa baada ya wiki mbili Zari na Diamond watafunga ndoa

Dimond akijaribu kumuoa zari ndo utakua mwisho wake, siku akienda kufile divorce ndo atajua huyu demu akili mingi!
 
Akina Hamisa si wapoo,huyo Zari akipose atasaidiwa na hivi dini inamruhusu basii hakuna tatizo hapo,.yy atabaki na heshma yake tuu ya kuwa mke mkubwa/wakwanza.
 
maneno yake ni ngumu kuyaamini maana wakati anaongea kama utamuangalia vizuri Tale ni kana kwamba alikuwa amelewa kidogo...so, was liquor speaking through him.
 
Ng'ombe hazeeki maini. Zari ajue kuwa drama za michepuko itakuwa kama kawa.
Anasahau mwenzie alisema dini inamruhusu kuoa zaidi ya wake wanne. Anajipa pressure ya bure. Asili ya mtu ni asili ya mtu haiwezi kubadilika. Mondi ni mchafuzi sijui hajalitambua hilo?
 
Wanapendana hawa pamoja na majaribuni yaliyo mbele yao kila siku iendayo kwa Mungu.

Kayathibitisha hayo kwenye sherehe ya harusi ya Rommy Jons ambaye ni official dj wa Diamond. Babu Tale kauambia umma kupitia sherehe hiyo kuwa harusi ya Diamond na Zari ndo inayofuata baada ya majuma mawili kupita.

Kama aliyoyasema babu Tale ni ya kweli basi nawatakia maandalizi mema ya harusi yenu. But kwenye ukweli lazima niseme Diamond una moyo wa kiume na unafaa kuigwa na jamii kwa mzigo ulojitishwa, coz baada ya miaka kama mitano ijayo mke wako mtarajiwa anaingia menopause huku wewe ukiwa bado kinda kabisa najaribu tu kukukimbusha, but yote kwa yote waswahili wanasema, kipendacho roho.

Kila la kheri bwana mkubwa Naseeb na mpenzi wako kipenzi Zari.
 
Kayathibitisha hayo kwenye sherehe ya harusi ya Rommy Jons ambaye ni official dj wa Diamond. Babu Tale kauambia umma kupitia sherehe hiyo kuwa harusi ya Diamond na Zari ndo inayofuata baada ya majuma mawili kupita.

Kama aliyoyasema babu Tale ni ya kweli basi nawatakia maandalizi mema ya harusi yenu. But kwenye ukweli lazima niseme Diamond una moyo wa kiume na unafaa kuigwa na jamii kwa mzigo ulojitishwa, coz baada ya miaka kama mitano ijayo mke wako mtarajiwa anaingia menopause huku wewe ukiwa bado kinda kabisa najaribu tu kukukimbusha, but yote kwa yote waswahili wanasema, kipendacho roho.

Kila la kheri bwana mkubwa Naseeb na mpenzi wako kipenzi Zari.
Haikuhusuuuuu!!
 
Back
Top Bottom