Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,040
- 182
Najiuliza serikali ina ajenda gani na babu wa Loliondo, ifike wakati apewe Ulinzi na kutumia magari ya serikali?
Wataalamu wangapi na wakuu wa idara nyeti za nchi hii hawapewi hudma na unyeti anaopewa babu?
Au serikali imeoteshwa kumlinda na kumbeba? Nasema haya kwa kuwa jana amepelekwa Babati kuhudhuria msiba wa mtoto wake kwa gari la Halmashauri akiwa chini ya Ulinzi wa wana usalama na polisi kuelekea Babati.
Wataalamu wangapi na wakuu wa idara nyeti za nchi hii hawapewi hudma na unyeti anaopewa babu?
Au serikali imeoteshwa kumlinda na kumbeba? Nasema haya kwa kuwa jana amepelekwa Babati kuhudhuria msiba wa mtoto wake kwa gari la Halmashauri akiwa chini ya Ulinzi wa wana usalama na polisi kuelekea Babati.