Midavudavu
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 287
- 59
siku ya kwanza:
mtoto-mama angalia yule dada tumbo lake kubwa kama nini
mama-sawa yule ni mjamzito
mtoto-aaa! Sawa mama
siku ya pili:
mtoto- mama angalia babu yule wa kiarabu mjamzito
mama-hapana babu siyo mjamzito anakitambi
mtoto- sasa nini tofauti ya tumbo kubwa la dada yule wa jana na huyu babu?
Mama- nyamaza huna adabu niulize mashwali ya shule na si upuuzi wako!
mtoto-mama angalia yule dada tumbo lake kubwa kama nini
mama-sawa yule ni mjamzito
mtoto-aaa! Sawa mama
siku ya pili:
mtoto- mama angalia babu yule wa kiarabu mjamzito
mama-hapana babu siyo mjamzito anakitambi
mtoto- sasa nini tofauti ya tumbo kubwa la dada yule wa jana na huyu babu?
Mama- nyamaza huna adabu niulize mashwali ya shule na si upuuzi wako!