kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
nitarudi na majibu
babu anapenda wazawa na hii kitu inabidi hata wanasiasa wetu waige huu mfano sio mhindi anakuja au mkenya basi mnamsujudiaaa kumbe hana lolote
Katika hao million 4 nnauhakika wapo wanatembelea JF, jee kuna awezea kutuambia kapona baada ya kupata "kikombe cha babu"? atueleze akiumwa nini na kapona, kwa uthibitisho wa vipimo, kabla na baada. Akitokea mmoja akafanya hivyo, ntamlipa gharama zake zote alizo gharamika kwenda mpaka kurudi kwa babu! Open Challenge.