Unadhani hata tunapenda....huwa tunashangaa kuambiwa unaniumiza. Ukiona unachoambiwa unamuumiza hata kilikuwa hakipo akilini..Haijatulia sema nitafanyaje sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mnajua sana kutuumiza nyie viumbe
Wanaume wengi tupo hivo mkuu...hata me mwenyewe nipo hivihivi kisa first love so called audrey...nimejaribu kila mbinu ila kutulia na kusahau ngumu sanaUkweli kabisa.
Acha fix wewe...bro gani?
Kwema lakini.
Wanaume wengi tupo hivo mkuu...hata me mwenyewe nipo hivihivi kisa first love so called audrey...nimejaribu kila mbinu ila kutulia na kusahau ngumu sana
Naona unasambaza umaskini Kwa Kasi SanaUkikosa hela utasahau huu utumbo wote
Unadhani hata tunapenda....huwa tunashangaa kuambiwa unaniumiza. Ukiona unachoambiwa unamuumiza hata kilikuwa hakipo akilini..
-Usiku mwema
-umeamkaje.
At the end of the day, naamini nature inamua lipi litokee wapi na vipi licha ya juhudi za wote kutaka kuweka hali sawa.
Unaweza kuamua kuwa na Mzigua90 ila kama nature haijakubali basi haijakubali.
Very unlikely watu wakaachana mwa amaniNa nimejifunza kitu muhimu sana hapa. Ni muhimu sana kuachana na wapenzi wetu kwa amani na upendo. Huyu braza anayeliliwa hapa bila shaka ni mtu mwema na ana haki ya kujipongeza huko aliko.
Ndiyo. Watu mkishindwa kuelewana mnaachana kwa amani. Na mbegu za wema, upendo wa kweli, urafiki na ubinadamu zikipandwa, zikapaliliwa na kutunzwa vyema daima hutoa matunda mema. Miaka inaweza ikapita lakini matunda yake kamwe huwa hayaozi na kupotea moja kwa moja. Hongera binti kwa kukumbana na njemba hii iliyokuachia makovu ya wema na upendo katika mtima wako mchanga.
Mungu Atauponyesha moyo wako huu unaobubujika asali ya mapenzi matamu ya kweli yaliyoachwa peke yake yakichuruzika na mrina huyu shujaa aliyeamua kwenda kusaka asali kwingine. Jipe muda. Utapona !!! [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Wanaume wengi tupo hivo mkuu...hata me mwenyewe nipo hivihivi kisa first love so called audrey...nimejaribu kila mbinu ila kutulia na kusahau ngumu sana
Una point kubwa sana kamanda [emoji122][emoji122]Very unlikely watu wakaachana mwa amani
Kwasababu ni ngumu wote kukubaliana kuachana endapo mmoja hajawa tayari kupokea separation
In any way, shape and form... Separation ni painful process lakini sometimes ni the only way out
Mkuu hii ni kama fate mtu ukiishaumizwa na first love kwa upande wetu huwa tunakuwa na roho za ajabu sanaLol. Mnatukomesha wengine kwa makosa ya wengine.
Siku wanawake tukipata mioyo kama yenu ya kuumiza kisa kuumizwa wanaume wengi sana watalia
Sasa prince unamtafuta si yule jamaa aliekuanzishia uzi...thank you so so much,
I inhale this..!! I know I have to kiss many frogs before finding my own prince so that I would cherish that person, been so strong indeed.!!
Mkuu hii ni kama fate mtu ukiishaumizwa na first love kwa upande wetu huwa tunakuwa na roho za ajabu sana
Pole sana mpenziNamuombea ajifunze kutokuumiza mwingine, hivii ninavyojiskia nisingetamani na mwingine asikie daah'..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ohoooo
We andika tuu "sorry "
Pole babe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babe ndio najiandaa apa niingie lindo usubiri kesho unipe polePole babe
Bora umeandika Kiswahili kidogo nikaelewa kinachoendelea. Hakika wewe sio furushi [emoji23][emoji23][emoji23]Na nimejifunza kitu muhimu sana hapa. Ni muhimu sana kuachana na wapenzi wetu kwa amani na upendo. Huyu braza anayeliliwa hapa bila shaka ni mtu mwema na ana haki ya kujipongeza huko aliko.
Ndiyo. Watu mkishindwa kuelewana mnaachana kwa amani. Na mbegu za wema, upendo wa kweli, urafiki na ubinadamu zikipandwa, zikapaliliwa na kutunzwa vyema daima hutoa matunda mema. Miaka inaweza ikapita lakini matunda yake kamwe huwa hayaozi na kupotea moja kwa moja. Hongera binti kwa kukumbana na njemba hii iliyokuachia makovu ya wema na upendo katika mtima wako mchanga.
Mungu Atauponyesha moyo wako huu unaobubujika asali ya mapenzi matamu ya kweli yaliyoachwa peke yake yakichuruzika na mrina huyu shujaa aliyeamua kwenda kusaka asali kwingine. Jipe muda. Utapona !!! [emoji1545][emoji1545][emoji1545]