Babe, I am afraid this was never meant to be...

"no one will ever replace him" thats a very white lie bro, in todays world all what needs to happen is for that guy, that man who drives, he has a good job, able to take that sweet girl for holidays, candle lit dinners and so, to get fired from that job, and so no longer to afford even rent at that nice apartment at bweni, loses the car, and so on, and that sweet girl will find a replacement in the next 48 HOURS, you can take that to the bank, and aslo if that man meets a more "hot" chick and the current one will no more get a place in his heart, hope i have driven my point home sir
 
Hahahaha lol sidhani kama hata hizo usernames za nyuma unazifahamu ila mimi naifahamu hii ya kwako mkuu
nimeshindwa kujibu swali lako. nahisi umebadili ID ninayo ifahamu mimi.
 
Ahsante mumie nimepoa!
Miaka 9???? Na kuolewa ulikuwa ushaolewa sindiyo??
Ndio, Mama yangu aliniambia mwanamke anajifunza kupenda. Hivyo nichague mwanaume mwingine kwa kutumia akili( yani awe na vigezo vyangu vingi ninavyo vipenda). Baada ya kuchagua niolewe. Nikafanya hivyo.
Nikaolewa wakati moyoni yupo mwanaume mwingine, harafu nikajifunza kumpenda mme wangu.
Mme wangu akawa ananipenda sana, maana nilikuwa simuhesabii makosa, yani hata akinikosea sioni shida maana nilikuwa namkubali sana ila sio kumpenda.
Miaka ikapita nikawa namsahau x taratibu, ila nikimkumbuka naliaaaa napoa naendelea na maisha.
Nikawa namkumbuka baada ya mwezi! Mara inapita miaezi mitatu ndio namkumbuka, mara miezi nane mpaka nikawa simsikii tena. Nikaanza kumiss mme wangu.
Mme wangu akisafiri naugua, wakata awali mme wangu alikuwa akisafiri nakuwa ido namuwaza x.
Nikaangukia kwenye penzi zito la mme wangu !!!

NB: past inauma lakini unaweza ukaikimbia na ukaenjoy the present.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Well...as long as he is not a married man
 
Ukikosa hela utasahau huu utumbo wote
Kama kweli flan hivii.ahahahah..
Heb ..ngoja kwanza.
Mwenye dictionary akimaliza aniazime na mm.Kuna vitu sijaelewa nashindwa kuchukua summary
 
Ogopa sana mkuu..Ogopa..hata ikipita 10 yrs hawa wawil wakiktana bas mungu tu ndio anajua yote.
Ahahahahah
 
SHIMBA YA BUYENZE,

Hata mkeo huko aliko anamkumbuka x wake kwa wema aliokua anamtendea na wema hauozi kuna siku wema huo utatoa matunda vzr kabisa.
Ahahahahahahh.
Bitter and sour truth..e bwana ee.
Ila let us be positive for our own sake amd our own health.
Msije mkafa kwa heart attack mkiendekeza mitazamo hii.
Ahahahahah

NB
"za kuambiwa,changanya na zako"- JK
 
Teh teh teh...naoa 2010 naanza kupendwa february 2015 nakufa december 2015.
Not fair kabisaa
Ahahahahajahahahha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…