GE2025 'Babalevo' amejiharibia, amepiga teke fuko la pesa!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Sisiemu unawajua vizuri wao wakiwa wanataka kuiba kura huwa hawaangalii sijuo zito , sijui nani hata 2020 watu walitegemea kitu Kama hicho
 
The chawa!
 
Sisiemu unawajua vizuri wao wakiwa wanataka kuiba kura huwa hawaangalii sijuo zito , sijui nani hata 2020 watu walitegemea kitu Kama hicho
Haya ya Zitto ni mpango wao pia, ACT wana ruzuku kubwa na ccm inataka kujiosha kimataifa.
 
Kukiuka taratibu ni kawaida ya chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…