Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
Ndugu wana jf habari za siku hii ya leo,kulingana na kichwa cha habari hapo juu napenda kuwashauri wabunge pamoja na spika na hata viongozi wa nchi hii,kutokana na mambo mbalimbali ya aibu yanayoendelea ndani ya bunge na hata nje ya bunge,mimi kwa mtazamo wangu ni kuwa BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS K NYERERE AMEKASIRIKA
kwahyo kwa ushauri wangu kuepuka kwa mambo mengne mengi na makubwa katika nchi hii na hususani ndani ya bunge,WABUNGE WOTE WANAPASWA WA KAHIJI KATIKA KABURI LA BABA WA TAIFA.
Hii ndio itakuwa dawa ya kuweka utulivu ndani ya bunge.
Nawasilisha
kwahyo kwa ushauri wangu kuepuka kwa mambo mengne mengi na makubwa katika nchi hii na hususani ndani ya bunge,WABUNGE WOTE WANAPASWA WA KAHIJI KATIKA KABURI LA BABA WA TAIFA.
Hii ndio itakuwa dawa ya kuweka utulivu ndani ya bunge.
Nawasilisha