Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,502
- 911,254
Yaani hawa baba wa hawa watoto humtongoza saa ngapi huyu mama kipofu kumpachika mimba na mchana kuishia gizani????????????????? Ushauri wangu ni kuwa asakwe na kutiwa nguvuni...............................