mbona una avatar y joseverest n ndug yako au mpenz wako nn
Mchumba wakembona una avatar y joseverest n ndug yako au mpenz wako nn
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
mbna hz sku mbil 3 hatumuon, yupo wapi
Tumefanan mawazo picha hiy inachezwa
Mtu umezaa naye mpaka watoto watatu na ni wakubwa tu unaachana naye unaanza kukitembeza mpk ma sex tape anayo.Hufahamu totauti zao??
Zari aliolewa akaachana na mumewe akiwa na watoto watatu na kukutana na hiko unachokiita kivulana na wamezaa watoto wawili.
Hamisa hajawahi kuolewa, kazaa mtoto mmoja na boyfriend kaachwa kafunua tena rinda kazaa na kile unachokiita kivulana na kakataliwa yeye na mtoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ameshakua mtu mzima kimbembe kipo kwa huyu binti mdogo anayezaa hovyo.Shule alikimbia ajira hana anaishi kwa hisani ya majizo ipo siku atakuja kulia na kusaga meno.Mtu umezaa naye mpaka watoto watatu na ni wakubwa tu unaachana naye unaanza kukitembeza mpk ma sex tape anayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond naye alipatikana nje ya ndoa usisahauDunia ya sasa maadili yamekwisha kabisa,yaani badala ya baba mzazi wa kijana atoe onyo kwa kijana wake kuhusu tabia yake mbaya ya uzinzi na kuzaa zaa hovyo na wanawake ambao hajawaoa na uwezo wa kuwaoa na kuwatunza anao yeye ndo kwanza anabariki uchafu unaofanywa na mwanae.na hii yote inatokana na ukweli kwamba kijana ndiye anaempa maisha mzee ndo mana anaogopa kumkanya anaogopa akienda against nae atamwaga mboga.
sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
Sio wa Diamond, ni wa kwako
Baba gani au mama hapendi mjukuu hasa anaelrtwa na mtoto...wako wa...kiumeDunia ya sasa maadili yamekwisha kabisa,yaani badala ya baba mzazi wa kijana atoe onyo kwa kijana wake kuhusu tabia yake mbaya ya uzinzi na kuzaa zaa hovyo na wanawake ambao hajawaoa na uwezo wa kuwaoa na kuwatunza anao yeye ndo kwanza anabariki uchafu unaofanywa na mwanae.na hii yote inatokana na ukweli kwamba kijana ndiye anaempa maisha mzee ndo mana anaogopa kumkanya anaogopa akienda against nae atamwaga mboga.
sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
Ndiyo nimeisoma na nimeelewa,huyo baba yake kusema kwamba aowe alitakiwa kusema tangia kijana wake alipomzalisha mganda mtoto mmoja sio sasa ana watoto watatu na wanawake wawili tofauti anajifanya kushauri.baba timam alieishika imani yake vizuri na akawafundisha wanae maadili mema hawezi kukubali ujinga huu.
Huyo binti ni mpuuzi
Umejibebesha mimba ya singleboy mtoto wa kwanza baba kakukacha.
Unafungua tena uzazi unazaa na mwanaume mwenye familia ambayo ulimwengu mzima unaijua, baba anakukataa wewe na mtoto unangangania na kulazimisha utambulike
Kama alishindwa kumstiri yule aliyekuwa free ataweza kustiriwa na huyu mwenye familia??
Anajitengenezea mazingira ya kuchina na kuwa nungayembe.
Nani atakubali kubeba/kuoa mama wa watoto wawili wenye baba tofauti???
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako wengi tu nimewashuhudia sio wote wanawaza makojoleo watu wanatafuta pesaHuyo mwanaume hana familia ndugu ana girlfriend tu. Umeona mwanaume wa kiafrica anaoa mke anaishi nchi ya mbali, nyumba kanunua huko, miradi iko hukooo, mwanamke humtembelea mara moja moja tu ni kama mchepuko kauhonga ujue. Ahamishe majeshi bongo akae na mumewe.
Halafu alimdanganya dai anunue nyumba aliko bwanake wa zamani Mungu naye akafanya yake.