GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Kusema itabiri , itabiri bila kuweka uthibitisho wa alitabiri lini na wapi ni utapeli mwningne huu. Alitabiri wapi obama atakuwa rais na alikengeuka aliposema atakuwa rais wa mwisho.mbona yupo trump? Huu uongo kabla hujapost pitia kwanza au maybe ulitafsiriwa vibaya maana si kwa kukosea huku