Huu wimbo ni mkali, ila watu wengi hawajui mda mzuri wa kuucheza. Jana nilikudhuria harusi ya mpwa wangu, wakaucheza wakati wa maakuli, seriously.........newly weds.....wazee kwa watoto wanasikiliza habari za vipepsi na unyumba.....maaakuli......KENNY G WAPI??? DAVE KOZ je???:doh: