Hivyo katika maisha yangu sijawahi ita neno BABA na wala sijui umuhimu wake kwani mama hajawahi olewa tena wala sijawahi kumuona mwanaume ndani ya nyumba yetu tofauti na ndugu tu wa upande wa mama yaani wajombaDuh, samahani kwa kuuliza, baba yako alisema hivyo kweli?
Yaani alikosa kabisa sababu nyingine ya kujitetea?
Hivyo katika maisha yangu sijawahi ita neno BABA na wala sijui umuhimu wake kwani mama hajawahi olewa tena wala sijawahi kumuona mwanaume ndani ya nyumba yetu tofauti na ndugu tu wa upande wa mama yaani wajomba
Na mm nimebaki peke angu kwa mama kwani hakuwahi zaa tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo katika maisha yangu sijawahi ita neno BABA na wala sijui umuhimu wake kwani mama hajawahi olewa tena wala sijawahi kumuona mwanaume ndani ya nyumba yetu tofauti na ndugu tu wa upande wa mama yaani wajomba
Na mm nimebaki peke angu kwa mama kwani hakuwahi zaa tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wenye matatizo km yako hata kauli zenu huwa zinafanana utadhani huwa mnaambizana. Pole sana mkuu. Lkn me nataka nikuambie na kukupa ushauri ambao si lazima uuchukue. Pamoja na kwamba sijapata maelezo ya upande wa Baba yako lkn ukweli hicho unachosema kuhusu weakness za Baba yako ni 15%tu.Ndio alichosema na alipata watoto wengine kwa mwanamke alieishi nae lakini wamekufa wote nimebaki mimi tu na ndio alipokuja kuniomba msamaha
Nikamuuliza kosa langu au alilokosa mama kwake akadai hajawahi kumkosea kwani alipompa mimba tu alikataa na kukimbia kijijini hapo hivyo hawezi ongopa na nakumbuka tumeishi kwa shida sana sana na nilikua natembea kwa miguu siku nzima kwenda mjini kuomba msaada kwake ila alinifukuza kama mara nne hivyo nikachoka
Baada ya kufiwa na watoto na mke wake akabaki mwenyewe na alipata matatizo ya kutokuona vizuri ndio akaanz kunitafuta na kuja kumuangukia mama na mm
Ila nikikumbuka naumia sana niishie hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole ndugu japo nimejikuta natamani kujua umri wako, unaongea kwa hisia kali na umeanza vizuri ila huku mbele ni kama umeipoka siredi hii na deeply personal information.Hivyo katika maisha yangu sijawahi ita neno BABA na wala sijui umuhimu wake kwani mama hajawahi olewa tena wala sijawahi kumuona mwanaume ndani ya nyumba yetu tofauti na ndugu tu wa upande wa mama yaani wajomba
Na mm nimebaki peke angu kwa mama kwani hakuwahi zaa tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza naomba nikuhakikishie kua mama yangu hakuwahi kuniambia kua baba kamtenda ubaya au baba mbaya na alikua ananambia baba kasafiri kawnda kunitafutia viatu akieudi atanileta nivae maana nilikua sina natembea pekuWatu wenye matatizo km yako hata kauli zenu huwa zinafanana utadhani huwa mnaambizana. Pole sana mkuu. Lkn me nataka nikuambie na kukupa ushauri ambao si lazima uuchukue. Pamoja na kwamba sijapata maelezo ya upande wa Baba yako lkn ukweli hicho unachosema kuhusu weakness za Baba yako ni 15%tu.
Hizo sababu zingine unazotoa unatuonyesha tu kwa hisia kuwa Baba yako alikuwa mbaya sana..na kwa bahati mbaya sana mpaka leo unaamini hivyo na unaposema jambo hilo kwa watu na wakakuonea huruma ww ndo unapata nafuu.
Hasira zako zote zinatokana na sumu aliyokulisha mama yako ambaye ndo alikulea na kwa sababu mlikuwa na shida sana wakati huo,ile sumu iliyokuwa inapandwa na mama yako ilikuwa rahisi tu kukuingia na kusema kweli imekuumiza mno!
Me nakuhakikishia mama yako pamoja na kukulea,lkn ndo alikuwa mbaya sana aliyesababisha hadi Baba yako awatelekeze. Me nakushauri ufanye jambo moja kubwa sana,msamehe Baba yako na muoneshe upendo utakuja kusikia vitu ambavyo hukutarajia kuhusu mama yako. Wanaume huwa ni wastaarabu sana huwa wanajizuia mambo mengi sana kuyasema kwa watoto wao.
Usiangalie sana mafanikio uliyoyapata,hayo mafanikio yamepatikana kutokana na hilo tukio. Pengine ungekuwa unapata kila kitu kwa Baba na mama ungebweteka na usingefika hapo ulipo leo. Hayo mapungufu ya wazazi wako ndo yaliyokujenga na kukupa hasira ya kupambana. Natamani kuandika sana,lkn Acha niishie hapa. Lkn unahitaji ushauri mkuu,hicho kitu kitakutesa maisha yako yote. Na kimsingi ww ndo unaumia kuliko hata Baba yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika ndio baba mzazi?Na ambao baba zetu walitukataa na hawakujali hata tulikua tukilala njaa na kuvaa chupi zenye matobo na wao wanakula bata mjini tunacoment neno gani
Sijawahi kumpenda na sitompenda japo simchukii ila sitaki ukaribu nae maana alinambia kwa kinywa chake nisitumie hata ubini wake ila leo ananitafuta eti nimpe matumizi
Nampa kama navoweza kuwapa ombaomba ila si kwa heahima ya ubaba
Nakupenda mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa zaidi ya sana.. Ni watu wachache wanaoumizwa na wakaweza kubakia na mioyo ya kawaida, cha msingi umemtendea wema mzee wako na Mungu atakulipa..Ndio alichosema na alipata watoto wengine kwa mwanamke alieishi nae lakini wamekufa wote nimebaki mimi tu na ndio alipokuja kuniomba msamaha
Nikamuuliza kosa langu au alilokosa mama kwake akadai hajawahi kumkosea kwani alipompa mimba tu alikataa na kukimbia kijijini hapo hivyo hawezi ongopa na nakumbuka tumeishi kwa shida sana sana na nilikua natembea kwa miguu siku nzima kwenda mjini kuomba msaada kwake ila alinifukuza kama mara nne hivyo nikachoka
Baada ya kufiwa na watoto na mke wake akabaki mwenyewe na alipata matatizo ya kutokuona vizuri ndio akaanz kunitafuta na kuja kumuangukia mama na mm
Ila nikikumbuka naumia sana niishie hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakulea/ kujifunza? Fukara au mwenye nazo?Na alishakuja kuniomba msamaha kwa kunikataa anadai alikua anaogopa kuchekwa na wenzie kwa kuzaa na mama kisa mama alikua fukara sana kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio alichosema na alipata watoto wengine kwa mwanamke alieishi nae lakini wamekufa wote nimebaki mimi tu na ndio alipokuja kuniomba msamaha
Nikamuuliza kosa langu au alilokosa mama kwake akadai hajawahi kumkosea kwani alipompa mimba tu alikataa na kukimbia kijijini hapo hivyo hawezi ongopa na nakumbuka tumeishi kwa shida sana sana na nilikua natembea kwa miguu siku nzima kwenda mjini kuomba msaada kwake ila alinifukuza kama mara nne hivyo nikachoka
Baada ya kufiwa na watoto na mke wake akabaki mwenyewe na alipata matatizo ya kutokuona vizuri ndio akaanz kunitafuta na kuja kumuangukia mama na mm
Ila nikikumbuka naumia sana niishie hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Samehe mkuu ubaki na amaniNa ambao baba zetu walitukataa na hawakujali hata tulikua tukilala njaa na kuvaa chupi zenye matobo na wao wanakula bata mjini tunacoment neno gani
Sijawahi kumpenda na sitompenda japo simchukii ila sitaki ukaribu nae maana alinambia kwa kinywa chake nisitumie hata ubini wake ila leo ananitafuta eti nimpe matumizi
Nampa kama navoweza kuwapa ombaomba ila si kwa heahima ya ubaba
Nakupenda mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekusoma kama vile naangalia filam. Mi nakupa hongela kwa kumfanyia mzee kulingana na aliyoyafanyaHivyo katika maisha yangu sijawahi ita neno BABA na wala sijui umuhimu wake kwani mama hajawahi olewa tena wala sijawahi kumuona mwanaume ndani ya nyumba yetu tofauti na ndugu tu wa upande wa mama yaani wajomba
Na mm nimebaki peke angu kwa mama kwani hakuwahi zaa tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi ukue.Kuuingilia ugomvi wa wazazi ni kama kutafuta kupata baridi ya kichwa.Walikutana walivyokuwa vijana wenye akili machachari.Chunga sana.Mm nimefanana na baba kwa asilimia 95 hivyo sina shaka kua mimi si mtoto wake
Sent using Jamii Forums mobile app