Mtoto:Baba nikwambie kitu...
Baba:Nilikukataza kuongea wakati wa kula haya nyamaza....
Mtoto:Akaendelea kula mpaka wakamaliza kula...
Baba:Haya sasa sema ulichotaka kuniambia...
Mtoto:Nilitaka kukwambia wakati umetoka nje kuongea na simu Paka alikojolea chakula chako......
Baba:Unasemaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhh....................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!*******************:A S-confused1::crying::frusty: