Baba mtoto mshirikina

Kama ulivyoshauriwa, chunguza kwanza. Kama anafanya kazi na anafukuzia cheo pia wengi huenda kwa waganga, biashara hivyohivyo
 
Inaonesha una matatizo

 
sasa si ungefanya uchunguzi wako alafu ndo ulete uzi,hivi mwenzenu mi nikoje jamani sijawahi kupata mtu wa kuniletea umbea hata kidogo kuhusu familia yangu au nakuwa serious sana?
 
Ungesubiria ukipata taarifa kamilii ndio uje kuomba ushauri humu!
Anyways

Don't trust hearsays kiivooo Fanya ucgunguzi mwenyewe!!
 
Nobody is perfect! Lichukulie hilo kama changamoto itakayokupima hekima na ukomavu wa kusolve issues ndani ya familia
Tatizo ni athari, kumchukulia mtu inaweza isiwe tatizo, changamoto ni anaweza kufanya kitu gani kitakachoathiri familia yake

Mfano,
kuwatoa kafara zamu ikifika
Au kuwazindika
Au kumfundisha mtoto vitendo hivyo

Bahati nzuri wewe una uelewa mkubwa kwenye hayo maswala

Linachukulika kweli, hasa pindi atakapothibitisha ni kweli?
 
Mchunguze vizuri aliyekuletea hizo taarifa
 
Sikuu hizi akileta nyama choma usizile usije lishwa wafu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…