Baba mtoto kaninunia

Mimi sioni shida mzazi mwenzio kuendelea kuwasiliana na ndugu wa mzazi mwenzake cuz wale ni ndugu wa watoto wake pia.
What if kitu kikimpata mama wa watoto wake, how will he know kama hawasiliani na ndugu zake? Sometimes vitu kama hivyo unapuuzia tu ili mradi he is not cheating with her.

Halafu, ukimpa sana airtime mwanaume esp kwa mambo madogo madogo atakuchukulia boya..Wewe muache apost hata watoto mia, view status and make sure ameona umeview ila do not ask.Keep yourself busy.Yeye mwenyewe atashangaa mbona huoneshi wivu na kujistukia.

Same otherwise akipost mwanamke wewe tulia tuliiii.I knw inauma ila tulia tu, Atajichokea tu.
 
Ajue mipaka yake ameshakua na familia nyingine tayari
Usiseme hivyo.Mawasiliano si kitu cha kumpangia mtu ili mradi kuna heshima.

Imagine wewe ndo ungekua una mtoto wako somewhere then anakulimit kwamba usiwasiliane na shangazi , bibi au baba mdogo wake, how would you feel?
 
Ww kaa lea mume wako mpe huba lote tofauti na hivo unatafuta Kuachwa .
 
Mfano.
Uoe mwanamke umemkuta na mtoto tayari. Akawa na ukaribu sana na ndugu wa baba mtoto kutembeleana nakupostiana hivyo.
Itakuwa sawa kwa upande wako?

Sina haja ya kujibu, maana nitakuwa mgonjwa kuoa mwanamke mwenye mtoto
 
Kupostiwa ndio upendo siku hizi???acha akili za kimandazi,,, wenzako wanapambania wapewe mitaji wafanye maendeleo wapate jikimu vyema na wanao,,wewe unang'ang'ana na kupostiwa kwa mtoto wako,,,ndio maana mnazalishwa na kuachwa,,,akipostiwa ndio italeta ugali hapo ndani??amka wewe Mjukuu wa Chief hangaya
 
Kupostiana ndio love thermometer mpyaa? Nje ya hapo anampenda mwanao? If yes, endelea tu na huyo mume wako muangalie mambo mengine
 
Mlishaambiwa kamwe usiolewe na single father. Haya sasa umelikoroga, linywe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…