rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,497
- 41,925
HAMNA AKILI...!! Dunia ya leo unaacha nyumba kama pango hata wazazi wenu hamuwatendei haki..sie nyumba yetu sala sala mzee alishafariki,na mama kishafariki lakini ote 4 tumesema hatupangishi wala kuiuza,na ote hatukai hapo sababu tunaamini si kwetu bali ni kwa wazazi wetu na itabakia hvyo hvyo kama kumbu kumbu tu ya wazee wetu