Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 481
Hiyo kweli hatareeeee.Dah rule namba 10 imenishinda!
Itanue kidogo
Kama haoni mwambie asome kwanguvu ataelewa!Nini itanuliwe? Kama hausomi hayo maandishi nunua lensi ya kushika!
![]()
Kazi kwenu waoaji hapa...
Inabidi uombe ufafanuzi, lakini nimeelewa kuwa bidada akipata ujauzito na wewe unapata, ngoma droo....... ngumu kumezaDah rule namba 10 imenishinda!
Rule No 10 is null and void. Anayetoka na binti hawezi kuwa na papuchi, hivyo baba hana cha kufanya. Labda ukitumia 0713 ya binti.
Yaani jamaa yako atanuliwe marinda? We Munkari,labda hiyo sheria ingekuwa ya mama mkwe.Hahahaha nimependa hiyo rule no 10 loh
Inabidi uombe ufafanuzi, lakini nimeelewa kuwa bidada akipata ujauzito na wewe unapata, ngoma droo....... ngumu kumeza