Deka D
Senior Member
- Feb 8, 2013
- 115
- 62
Kiongozi mwandamizi wa serikali ya kikomunisit na baba mdogo wa Rais wa korea ya kasikazini
SABABU ZA KUFUKUZWA
-kuunda kikundi cha kupinga viongozi wa kikomunist
-kupokea pesa (rushwa) kutoka kikundi kinachotaka kuipindua serikali
-kufanya biashara ya madawa ya kulevya
-kupenda wanawake sana (umalaya)
Hiyo yote ni miiko ya uongozi katika taifa la korea ya kasikazin. Lakini pia ata tanzania hayo yote yamekatazwa kwa mujibu wa katiba ya sasa.
Swali la kujiuliza je tanzania ni viongozi wangapi wametenda kama hayo na wamechukuliwa hatua gani zaidi ya kuwalinda.
Je serikali ya sasa imefanya maamuzi magumu gani dhidi ya wala rushwa.... mafisadi, wahujumu uchumi au wasaliti wa nchii? Au vyama vimefanya maamuzi gani ya kuwafuta kazi viongozi au watu kama hao?
Tulishudia CUF wakimfukuza Ahamad Rashid (mbunge) kwa kutofuata taratibu au kujiona yeye ni mtu badala ya chama.
Lakini pia tulishudia NCCR MAGEUZI ikifukuza Kafulila Davidi (mbunge) baada ya kwenda kinyume na utaratibu wa chama chake na kutaka kumpindua mwenyekiti wake.
Pia tumeshudia CHADEMA ikiwafukuza ktk uongozi baadhi ya viongozi walioenda kinyume na utaratibu wa kichama kama kabulu ambae yuko ccm, marehemu chacha wangwe, na sasa kijana mdogo kabsa zitto zuberi (mbunge) hao wote walienda kinyume na utaratibu wa kichama.
Mbali na hivyo vyama tajwa hapo juu lakin chama cha mapinduzi (ccm) kimeshindwa kabsa kuwaadhibu viongozi wake wengi wezi, walafi, mafisadi , wala rushwa, Wauwaji na wanyonyaji. Lakini zaidi hayo yote hakuna mtu ata moja aliye chukuliwa hatua. Mfano Lowassa (mbunge) ametajwa ktk report mbalmbal.. waliohusika katk mauaji kama Mwigulu (mbunge) lakin hakuna hatua zilizochukuliwa.
Wako wapi viongozi wanafanya biashara haramu ya Unga.....na wengine ni watoto vigogo na mawaziri.... lakin wapo wanaendelea na maisha kweli hii serikali ni sikivu au inawapenda. Wako wapi wauwaji na watekaji wa watetea maendelea na haki za makundi tanzania...
Tazama binaadamu anaekosa maarifa anapomuta vinadamu mwenzie gaidi bila kujua dhana ya ugaidi.....
Watanzania wengi wanatamani kuona nchi yao ikiwasaidia kuwatoa katka umasikin kwa kuwaondoa viongozi wabadhilifu ili utendaji wa serikali ufanyike kwa ufasaha....
Sasa hivi CCM ndo wanaona kuwa wamewakosea watanzania .....tunasema hapa mda wenu wakuondoka ktk madaraka umefika... mtaundanganya umma kuwa nyie ndo mnaweza lakn sio kweli tunahitaji mabadiliko katk chama au nje ya chama.
DHAMBI kubwa walioifanya wanaCCM ni kuuneza udini na ukabila, ndo vitu vitakavyo waadhibu kadili mlivyo uweneza. Mwenyezi Mungu anaona dhambi zote mnazowafanyia watanzania.
Ikumbukwe ktk dunia hii hakuna nchi au chama kilichotawala milele ata ufalme wa Roma (roma empire) uliokuwa na nguvu ktk dunia hii. Lakin leo hii uko wapi?
Leo ktk maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika Mh.Rais ametamka wazi kuwa apatheid walikuwa wabaya zaidi ya dikiteta ardof hilter lakn akasahau kuwa wote hao walikuja kuendelea kushindwa kutawala.
Ni hivyohvyo utawala wa chama tawala utaondoka tena ktk hali mbaya kuliko ata apartheid walivyoondoka. Kwa nn nasema hvyo.... leo hii mweshimiwa rais anasema tujifunze kusamehee lakn anasahau watu wanavyo tesa wapinzan kwa kuwahusisha na ugaidi kama vile apatheid na chi za ulaya walivyomtaja mandela kama gaidi wakutisha.
Tunahitaji ukombozi wa pili na wakweli na si unafiki kama kama baadhi ya watanzania wanaojiita watetea maslai ya watanganyika.
***Nchi kwanza vyama baadae***
****Chama kwanza mtu baadae****
****Rushwa ni sumu ya maendeleo***
***Usaliti ktk taifa ni sawa na kula nyama ya binaadamu (mchawi)******
SABABU ZA KUFUKUZWA
-kuunda kikundi cha kupinga viongozi wa kikomunist
-kupokea pesa (rushwa) kutoka kikundi kinachotaka kuipindua serikali
-kufanya biashara ya madawa ya kulevya
-kupenda wanawake sana (umalaya)
Hiyo yote ni miiko ya uongozi katika taifa la korea ya kasikazin. Lakini pia ata tanzania hayo yote yamekatazwa kwa mujibu wa katiba ya sasa.
Swali la kujiuliza je tanzania ni viongozi wangapi wametenda kama hayo na wamechukuliwa hatua gani zaidi ya kuwalinda.
Je serikali ya sasa imefanya maamuzi magumu gani dhidi ya wala rushwa.... mafisadi, wahujumu uchumi au wasaliti wa nchii? Au vyama vimefanya maamuzi gani ya kuwafuta kazi viongozi au watu kama hao?
Tulishudia CUF wakimfukuza Ahamad Rashid (mbunge) kwa kutofuata taratibu au kujiona yeye ni mtu badala ya chama.
Lakini pia tulishudia NCCR MAGEUZI ikifukuza Kafulila Davidi (mbunge) baada ya kwenda kinyume na utaratibu wa chama chake na kutaka kumpindua mwenyekiti wake.
Pia tumeshudia CHADEMA ikiwafukuza ktk uongozi baadhi ya viongozi walioenda kinyume na utaratibu wa kichama kama kabulu ambae yuko ccm, marehemu chacha wangwe, na sasa kijana mdogo kabsa zitto zuberi (mbunge) hao wote walienda kinyume na utaratibu wa kichama.
Mbali na hivyo vyama tajwa hapo juu lakin chama cha mapinduzi (ccm) kimeshindwa kabsa kuwaadhibu viongozi wake wengi wezi, walafi, mafisadi , wala rushwa, Wauwaji na wanyonyaji. Lakini zaidi hayo yote hakuna mtu ata moja aliye chukuliwa hatua. Mfano Lowassa (mbunge) ametajwa ktk report mbalmbal.. waliohusika katk mauaji kama Mwigulu (mbunge) lakin hakuna hatua zilizochukuliwa.
Wako wapi viongozi wanafanya biashara haramu ya Unga.....na wengine ni watoto vigogo na mawaziri.... lakin wapo wanaendelea na maisha kweli hii serikali ni sikivu au inawapenda. Wako wapi wauwaji na watekaji wa watetea maendelea na haki za makundi tanzania...
Tazama binaadamu anaekosa maarifa anapomuta vinadamu mwenzie gaidi bila kujua dhana ya ugaidi.....
Watanzania wengi wanatamani kuona nchi yao ikiwasaidia kuwatoa katka umasikin kwa kuwaondoa viongozi wabadhilifu ili utendaji wa serikali ufanyike kwa ufasaha....
Sasa hivi CCM ndo wanaona kuwa wamewakosea watanzania .....tunasema hapa mda wenu wakuondoka ktk madaraka umefika... mtaundanganya umma kuwa nyie ndo mnaweza lakn sio kweli tunahitaji mabadiliko katk chama au nje ya chama.
DHAMBI kubwa walioifanya wanaCCM ni kuuneza udini na ukabila, ndo vitu vitakavyo waadhibu kadili mlivyo uweneza. Mwenyezi Mungu anaona dhambi zote mnazowafanyia watanzania.
Ikumbukwe ktk dunia hii hakuna nchi au chama kilichotawala milele ata ufalme wa Roma (roma empire) uliokuwa na nguvu ktk dunia hii. Lakin leo hii uko wapi?
Leo ktk maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika Mh.Rais ametamka wazi kuwa apatheid walikuwa wabaya zaidi ya dikiteta ardof hilter lakn akasahau kuwa wote hao walikuja kuendelea kushindwa kutawala.
Ni hivyohvyo utawala wa chama tawala utaondoka tena ktk hali mbaya kuliko ata apartheid walivyoondoka. Kwa nn nasema hvyo.... leo hii mweshimiwa rais anasema tujifunze kusamehee lakn anasahau watu wanavyo tesa wapinzan kwa kuwahusisha na ugaidi kama vile apatheid na chi za ulaya walivyomtaja mandela kama gaidi wakutisha.
Tunahitaji ukombozi wa pili na wakweli na si unafiki kama kama baadhi ya watanzania wanaojiita watetea maslai ya watanganyika.
***Nchi kwanza vyama baadae***
****Chama kwanza mtu baadae****
****Rushwa ni sumu ya maendeleo***
***Usaliti ktk taifa ni sawa na kula nyama ya binaadamu (mchawi)******