Baba manka.

Baba manka.

Sheshejr

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2012
Posts
434
Reaction score
84
Siku moja baba manka alidondoka kwenye kisima cha maji akapiga kelele huku anatapatapa mama manka akaja na kamba mpya akamrushia; baba manka akauliza umenunua sh. ngapi? Mama manka akamjibu, buku; akamwambia irudishe nenda kwa masawe anauza jero fanya haraka ntazamaaaaaaaa..........!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom