Baba, Mama pamoja na watoto wote ni marubani

Baba, Mama pamoja na watoto wote ni marubani

Ukweli ni kwamba zipo professions ambazo ni noble kuzidi nyingine being a pilot ni desire ya watoto wengi,hiyo ni fani yenye heshima sana na ina uhusiano na uwezo mkubwa wa akili kuna jamaa hapo juu anafananisha u pilot na Kilimo!? na mwenzake anamsapoti,duh basi sawa ila kwangu hicho ni kitu cha kipekee..."kurusha ndege sio kuendesha bagadu eti!"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba zipo professions ambazo ni noble kuzidi nyingine being a pilot ni desire ya watoto wengi,hiyo ni fani yenye heshima sana na ina uhusiano na uwezo mkubwa wa akili kuna jamaa hapo juu anafananisha u pilot na Kilimo!? na mwenzake anamsapoti,duh basi sawa ila kwangu hicho ni kitu cha kipekee..."kurusha ndege sio kuendesha bagadu eti!"

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kitu rahisi sana sema gharama ndo vijana wanashindwa ku afford, ila kazi ipo katika uinjinia wa ndege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba zipo professions ambazo ni noble kuzidi nyingine being a pilot ni desire ya watoto wengi,hiyo ni fani yenye heshima sana na ina uhusiano na uwezo mkubwa wa akili kuna jamaa hapo juu anafananisha u pilot na Kilimo!? na mwenzake anamsapoti,duh basi sawa ila kwangu hicho ni kitu cha kipekee..."kurusha ndege sio kuendesha bagadu eti!"

Sent using Jamii Forums mobile app
Gharama ndio kubwa sana ila kama watu wetu wangeweza kumudu gharama za kulipa mafunzo ya u pilot wengi tuu wangekuwa ma pilot. Matajiri wengi tuu wamejifunza u pilot baada ya kutajirika trna wengine wamejifunza wakiwa 50+ yrs old. Ma movie actors kama John Travolta etc etc walipopata pesa wamejifunza u pilot wanaendesha ndege zao wenyewe.
 
una chembechembe za u`genius mkuu,ni wachache sana humu tutakaofanikiwa kuelewa ulichokimaanisha,ingawa mimi ni mmoja wao,watu wanapenda kukuza mambo hata vitu vya kawaida wanataka vionekane ni vya ajabu!
Heshima Mkuu.

Tatizo ni kile alichokiita Prof Chachage (Mungu amlaze panapostahili) "Collective imbecilization". Kuanzia nyumbani,shuleni, kazini, mitaani na kadhalika ni kujipumbaza! kujipumbaza!.

Na bahati mbaya akitokea wa kututoa utumwani hatupo radhi. Tupo radhi kumtusi, na kumpiga vita iso na kifani atakayejaribu suala hili. Tunakumbatia ujinga mno. Humu Jamii Forums nako ni Taasisi ya kuendeleza suala hili, kuna watu humu (humfahamu/hakufahamu) ukimuelekeza ukweli anan'gaka. Huwa nashangaa sana (Nb; si sote).

Collective imbecilization ni neno aliloliasisi nguli, msomi (Si wa vyetii) na aliyewahi kuwa Mhadhiri UDSM (Idara ya sosholojia na anthropodia). Tafsiri yake ni kujipumbaza kihalaiki. Tunapenda mno kujipumbaza kihalaiki. Si mimi si yule nk. Tuache suala hili.

Baba, mke, mwana na kadhalika wakiwa waalimu, wasanii, wanasoka nk haionekani ina mada. Si haina ubabe?, ila Baba, mke, mwana na kadhalika wakiwa aidha wanasiasa, marubani, ofisi moja ndipo tunaanza mizengwe. Binadamu ni kiumbe mwanasiasa. Hii ajabu sana.

Ukiwa na mwangaza basi ndipo uungane na wengine katika jamii yenye mwangaza ili mwangaza huo uwe wa wote katika yaliyo mema na yenye kheri zaidi.

Pia nishukuru kwa kunivisha kilemba cha ukoka.

Hekima ni Uhuru, Uhuru ni Fikra.
 
Ukweli ni kwamba zipo professions ambazo ni noble kuzidi nyingine being a pilot ni desire ya watoto wengi,hiyo ni fani yenye heshima sana na ina uhusiano na uwezo mkubwa wa akili kuna jamaa hapo juu anafananisha u pilot na Kilimo!? na mwenzake anamsapoti,duh basi sawa ila kwangu hicho ni kitu cha kipekee..."kurusha ndege sio kuendesha bagadu eti!"

Sent using Jamii Forums mobile app
Miracle does not exist, only your ignorance is miracle.
 
Kuna cha ajabu hapo?.

Kuna Msomi mamboleo mmoja aliniambia kuwa urubani ni Professionalism. Nilishangaa sana, kama urubani ni u-professionalism bila shaka hata sie waendesha baiskeli na wale waendesha Magari, Pikipiki nk ni professionalism. Utofauti upo wapi?.

Kuna Baba mkulima, mke mkulima, watoto wakulima mpaka wajukuu wakulima. The same kwa wasanii, wanasiasa, wacheza soka nk.

Tusione ajabu, Ni kawaida tu.
hakuna cha ajabu ndio sababu nimeanza kwa kusema ni jambo la kawaida...kama umesoma uzi vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kitu rahisi sana sema gharama ndo vijana wanashindwa ku afford, ila kazi ipo katika uinjinia wa ndege

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakubaliana na wewe, kuna Rubani aliangusha ndege eti kisa alishindwa kutambua kama pressurization switch iko manual position na sio automatic position akaua watu 100+, tataizo hilo lilisababishwa na Engineer wakati anafanya check -up chini alisahau hiyo switch kuirudisha kwenye auto mode..
 
huku kwetu ukerewe baba mchawi mama mchawi mtoto kijichawi inaitwa wachawi family
hahahaha, mzee upo ukerewe ipi, mbona naona siku hizi wamestaarabika, zamani uwe tu na baiskeli ni shida, sasa watu wana umeme, maduka, magari, na wala hawauliwi
 
Kwa wote ,kwa sababu ni furaha kwa mm kuongeza umri na na ni siku niliyomleta mrembo wangu kwenye hii dunia,namshukuru sana mungu kwa siku hii maalum kwetu
Unafahamu sababu haswa ya kufanyika kwa sherehe?. Kwanini sherehe?, Naomba uzingatie kanuni za kimantiki na si kasumba, itikadi wala msimamo mkali.

Karibu.
 
Back
Top Bottom