Baba-mama-mume-mke

miezi tisa tumboni,miaka sita kumyonyesha!!!!!!na mengine,usiku nikumwa utasikia baba anauliza tu anaendeleaje huyo!!mama yeye halali!!acha bwana!!!

Mkeo pia atafanya hivo kwa wanao ambao nao bila shaka utawapenda sana. Cha msingi hapa sio kuuliza nani nampenda sana. Kila mtu ana nafasi yake katika maisha yako na wote ni muhimu.
 
Mkeo pia atafanya hivo kwa wanao ambao nao bila shaka utawapenda sana. Cha msingi hapa sio kuuliza nani nampenda sana. Kila mtu ana nafasi yake katika maisha yako na wote ni muhimu.

mkuu hawa wa kina mama wa kizazi cha TAMWA ukimwambia ya miaka sita atakuelewa kweli!!!!mtafikishana mbali,ila nitajitahidi anyonyeshe!!!
 
Mwanzo 2:24[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja.
[/FONT]
[/FONT]
 
Is this one more reason for you to hate 'marriages'?
I don't hate it, I just think it is a useless institution.
Completely obsolete, it wouldn't bring me any value.
Kwa swali hili jibu langu ni simple: Dad all the way!!!
I've known him for all my life and he loves me unconditionally
 
I don't hate it, I just think it is a useless institution.
Completely obsolete, it wouldn't bring me any value.
Kwa swali hili jibu langu ni simple: Dad all the way!!!
I've known him for all my life and he loves me unconditionally


sorry..your dad?
sijakuelewa hapo..
 
Mi nadhani kuna tatizo katika kulinganisha. mfano kuna ndoa nyingi zinadaiwa kuvunjwa na mama mzazi wa mume, wakati huohuo kuna wake ambao hawapendi kabisa hali ya mume kuwa karibu zaidi na mama yake kuliko yeye. na mwishowe nyufa huanza ktk ndoa

Nadhani bado wengi wetu hatujajua thamani ya pande hizi mbili.

Bado nahitaji wataalamu wa kudadavua kwa kina. Karibuni
 
Back
Top Bottom