Akizungumza wakati akizindua Kampeni za Chama cha Mapinduzi Kigoma Mjini leo Septema 9, 2025, Clayton Chipando Maarufu Baba Levo ambaye ni Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini amehusisha kutajwa kuwa chawa lakini yeye atatumia nafasi hiyo endapo wananchi watamchagua kuwa Mbunge wa Jimbo hilo atawaletea maendeleo
"Nilisimama na nyie kuwatetea kwa kila hali lakini pia kuhakikisha hakuna anayewanyanyasa katika mkoa huu, acheni nikafanye uchawa nyie mpate maendeleo Kigoma" amesema Clayton Chipando (Baba Levo)
Soma pia
"Nilisimama na nyie kuwatetea kwa kila hali lakini pia kuhakikisha hakuna anayewanyanyasa katika mkoa huu, acheni nikafanye uchawa nyie mpate maendeleo Kigoma" amesema Clayton Chipando (Baba Levo)
Soma pia
- GE2025 - Wananchi Kigoma wamejitokeza kwenye ufunguzi wa kampeni za mgombea ubunge Baba Levo
- GE2025 - Baba Levo akinukisha, ataka kura zihesabiwe upya
- GE2025 - Baba Levo: Ukilitaja Jina la Rais Samia wananchi wa Kigoma Mjini wanafurahia, wanajisikia raha sana