Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Miongoni mwa wagombea ubunge wa CCM walinivutia na hoja zake moja wake ni huyu jamaa Babalevo licha ya uchawa lakini unaona hoja zake zinaweza kutekelezeka kabisa.
================
Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Baba Levo amesema kuwa yeye ataahidi vitu ambavyo anaweza kuvitekeleza na sio jambo la kuongea wapoga kura.
Amayesema hayo Oktoba 23, 2025 katika muendelezo wake wa kampeni katika jimbo la Kigoma Mjini
================
Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Baba Levo amesema kuwa yeye ataahidi vitu ambavyo anaweza kuvitekeleza na sio jambo la kuongea wapoga kura.
Amayesema hayo Oktoba 23, 2025 katika muendelezo wake wa kampeni katika jimbo la Kigoma Mjini