Baba kubeba uovu wa mwanaye

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,738
3,199
Nimekuwa nafuatilia mihemuko ya RC Makonda juu ya wazazi kubeba
uovu wa watoto wao ikiwa serikali
itakosa ushirikiano toka kwa wazazi
husika katika maswala ya ujambazi na madawa ya kulevya n.k.

Mwanzoni nilijua anazungumzia watoto waliochini ya miaka 18 (minor under Tanzanian Law) kumbe mpaka vijeba,wapiga debe/waosha magari/wazururaji n.k makundi yote hayo wazazi wapatilizwe maovu yao!

Nasikia huyu mweshimiwa hana mtoto(Mange my reliable source) hivyo hajui changamoto za watoto kuwa wanaweza wakawa malaika nyumbani lakini mtaani mbali na nyumbani wakawa mashaitwan.hata vitabu vya Mungu vinasema Baba hatabeba uovu wa mwanaye/mtoto hata beba uovu wa Babaye.

Sasa huyu mtumishi wa Mungu RC
anapata wapi ujasiri wa kupotoka kiasi hicho? ana tuabisha hata sisi waumini wenzie.Viongozi wetu wanahitaji maombi.wamepungukiwa na hekima.
 
Wakati mwingine kulala pale unapokosa cha kufanya ni nzuri zaidi kuliko kupost vitu visivyooleweka humu! au na we ni mmoja ya wanaotafutwa mana it is like umetumia kale ka mmea!
 
Wakati mwingine kulala pale unapokosa cha kufanya ni nzuri zaidi kuliko kupost vitu visivyooleweka humu! au na we ni mmoja ya wanaotafutwa mana it is like umetumia kale ka mmea!
mkuu hata ukikaa kimyaa sio mbaya hulazimishwi kuchangia kila unachokiona.yumkini huna mtoto mkubwa.ungekuwa naye ungeelewa mantiki yangu.
 
Ukithubutu kumuombea jitayarishe na hasira za wenye haki.

Kunyimwa majaliwa ya kuwa baba siyo bure.
 
Nimekuwa nafuatilia mihemuko ya RC Makonda juu ya wazazi kubeba
uovu wa watoto wao ikiwa serikali
itakosa ushirikiano toka kwa wazazi
husika katika maswala ya ujambazi na madawa ya kulevya n.k.

Mwanzoni nilijua anazungumzia watoto waliochini ya miaka 18 (minor under Tanzanian Law) kumbe mpaka vijeba,wapiga debe/waosha magari/wazururaji n.k makundi yote hayo wazazi wapatilizwe maovu yao!

Nasikia huyu mweshimiwa hana mtoto(Mange my reliable source) hivyo hajui changamoto za watoto kuwa wanaweza wakawa malaika nyumbani lakini mtaani mbali na nyumbani wakawa mashaitwan.hata vitabu vya Mungu vinasema Baba hatabeba uovu wa mwanaye/mtoto hata beba uovu wa Babaye.

Sasa huyu mtumishi wa Mungu RC
anapata wapi ujasiri wa kupotoka kiasi hicho? ana tuabisha hata sisi waumini wenzie.Viongozi wetu wanahitaji maombi.wamepungukiwa na hekima.
Hapo kwenye blue ndipo nime amini wewe si mzima kuita huyo chizi ni reliable source
 
hulka ya machizi kusoma na kubold maandiko ya machizi wenzao.karibu mkuu
 
Back
Top Bottom