mzee kasema kweli kwa maisha ya mwanza hasa kijijini. Mimi pia nimechunga sana ng'ombe, mbuzi, kuvua samaki, kutengeneza matofali na kuuza kuni pamoja na mambo mengine magumu nikiwa nalelewa kwa baba mdogo. sijui na mimi nimlipue. but hata baba zetu walipokuwa wanaenda kurudia darasa la saba vijiji vya jirani hali ilikuwa hiyo hiyo, si kunyanyaswa ndo life style ya kijijini hasa ukiwa mdogo katika iyo familia