Baba kanikataa kisa alitaka nisome Clinical, mimi nimeamua kusoma Computer Engineering

Ditch your pops. He's worse than Hitler. You need to move out of the fcking family home and start your own life. You are a grown-ass man, and you should be out in the world doing your own thing and standing on your own two feet. But its prob easier said than done because you are too dependent on him financially, and a big coward too.
 
usione umepitia dogo kila mtu akiandika yake hapa mbona utajiona una nafuu kubwa tu tafuta ada urudie form 6 mbali na home kwa mwaka mmoja as qt maana uwez fanya tena mtian kwa umri huo necta hawatak labda ufanya
as private ukifaulu ukapata kulipiwa eng chuo ucrud home tena had upate kazi

yah najua kila mtu kapitia zaidi ya haya ndo maana nikaamua kuja kwenu mnipe ushauri wenu,asante sana
 
Kama unajiweza kimshiko panga hapa hapa dar upige kitabu bila ku-interfere na wazee.
Mda ukienda jaribu waona wazee muondoe tofauti bro,damu nzito kuliko maji.
Time heals almost everything,just give it some time mzee.
Ila jaribu muda unasubiri ishu zipoe uongee na wazee endelea na kitabu ili usipoteze zaidi.
Mcheki mshkaji wa mwanzo muangalie utaratibu wa ile biashara kusongesha maisha man.
Be strong kiongozi.
 
Mimi naona uache mambo ya ujana ya bangi na pombe, we kama mtoto wa kwanza ni role modal wa wadogo zako, xo unapaswa uwe ktk mstari ulionyoka ili wadogo zako wakufuate kwa nyuma.

Pia, taaluma ya afya ina soko zuri kwa wakati huu ukilinganisha na computer engineering, xo nakushauri ufanye mpango ukasomee mambo ya afya.

Kama unahtaji msaada wa baba ni lazma ukaombe msamaha, ama sivo kama unaweza ukastand on ur own na ukapata mafanikio mazuri then huo utakuwa msamaha automatic
 
Habari zenu wakuu?
Mimi kijana wa miaka 23,ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto wa 8 baba mmoja(two wifez).nimelelewa katika familia ya kidini sana na huku baba yangu akiwa mtu strickly,mkali,mr perfect na no one can tell him anything.......

Kwenye uzi ule https://www.jamiiforums.com/love-co...-a-partner-in-crime-be-mine.html#post12927286 ulisema ....
....
Mimi ni 24 years old guy struggling my way back after soo many shits of life i call the challenge now nasoma chuo and ni mjasiriamali nahitaji....
.
Ukikosa consistence kwenye maelezo yako, inapunguza uaminifu kwa yale yote unayoyaeleza....! Siamini hata kidogo umri wa binadamu kupungua kwa namna yoyote ile yaani jana ulikuwa na miaka kumi leo unamiaka sita!!. Pia ile picha uliyoweka kule inazalisha maswali mengi kuliko majibu. Kajipange tena.
 
Kwenye uzi ule https://www.jamiiforums.com/love-co...-a-partner-in-crime-be-mine.html#post12927286 ulisema ....

Ukikosa consistence kwenye maelezo yako, inapunguza uaminifu kwa yale yote unayoyaeleza....! Siamini hata kidogo umri wa binadamu kupungua kwa namna yoyote ile yaani jana ulikuwa na miaka kumi leo unamiaka sita!!. Pia ile picha uliyoweka kule inazalisha maswali mengi kuliko majibu. Kajipange tena.

mkuu nakubali nilidanganya umri back katika hiyo post kwa maslahi yangu,alafu chochote utakachoona kinakutatiza refer na maelezo yangu hapo juu utanielewa who i was,alafu unavoniambia nikajipange tena unamaanisha nini Mr.perfect?
 
Ditch your pops. He's worse than Hitler. You need to move out of the fcking family home and start your own life. You are a grown-ass man, and you should be out in the world doing your own thing and standing on your own two feet. But its prob easier said than done because you are too dependent on him financially, and a big coward too.

Am not finacially depend on him,and thanks man very much
 
Kwenye uzi ule https://www.jamiiforums.com/love-co...-a-partner-in-crime-be-mine.html#post12927286 ulisema ....

Ukikosa consistence kwenye maelezo yako, inapunguza uaminifu kwa yale yote unayoyaeleza....! Siamini hata kidogo umri wa binadamu kupungua kwa namna yoyote ile yaani jana ulikuwa na miaka kumi leo unamiaka sita!!. Pia ile picha uliyoweka kule inazalisha maswali mengi kuliko majibu. Kajipange tena.

Jamiiforums zaidi ya Uijuavyo, Humu ndani Watu wengi wanadanganya kuhusu uhalisia wa maisha yao.
 
Am not finacially depend on him,and thanks man very much

Sasa maelezo yako hapo juu yanakusuta. Bado unaishi nyumbani na hiyo tu is more than enough evidence. Stop hanging on your pop's nuts bamdogo. Stop being a cry baby. Get your shit together. Get a life.
 
Sasa maelezo yako hapo juu yanakusuta. Bado unaishi nyumbani na hiyo tu is more than enough evidence. Stop hanging on your pop's nuts bamdogo. Stop being a cry baby. Get your shit together. Get a life.

ni kweli kaka,ila una hehehe umenichekesha sana
 
attachment.php
We mleta thread acha kujikweza wew ni good life halafu unakuja kutuzunga hapa kuna weng hapa kuish nyumba nzuri kama hyo ni ndoto kwao! vijana wa dar hamtaki kujituma hata mkibebwa hambebeki! coockie monster hapo yupo kwao!
 
Last edited by a moderator:
pole
tia juhudi masimoni thn baadae umthibitishie mdingi kua hujakosea kusomea ulichochagua
 
Muwe mwamaliza matatizo ya kifamilia kwa kushirikisha familia, yaani kitu kidogo tu mnaanika mitandaoni
 
Back
Top Bottom