Baba Jonii, Bangi na Hasira

Baba Jonii, Bangi na Hasira

Wote ni wapuuzi.. haiwezekani umtuhumu mtu mvuta bangi mbele ya kadamnasi, dah! Mungu aniepushe ila ntakachofanya itakua historia. Ni udharirishaji na kuharibiana.
Mbasha alimaanisha nini? na mchomvu naona kama katoa adhabu ya kiutani utani.
 
We dada Umeolewa? Kama bado nikutafute unaweza sana tetea mumeo akifanya jambo la hovyo. Wote wawili wana makosa. Swali je huwa wanautani? Siku akutanie mtu we Gini ni kahaba huku anakuchekea....uone.

Mbasha Mpale Mchomvi Mwalusha sasa sibni watani.
 
Back
Top Bottom