tanira1
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 942
- 159
Baba jk nakupongeza sana kwa tume nzuri ya katiba uliyoichagua isipokuwa wasiwasi wangu je utakubali watakayopendekeza? Baba naanza kuamini kuwa washikaji zako ndio waliokuangusha lakini wewe ulikuwa na nia nzuri juu ya taifa lako nakumbuka kitambo kidogo nafikiri ilikuwa december 2005 ulipokuwa unahutubia bunge baada ya kuapishwa kwa mara ya kwanza kuwa rais, ulisema maneno yaliyonigusa sana kama sikosei ulisema "i will be smilling in face but i will be very serious in issues" sina hkika kama iko sawa maana ni muda mrefu nafikiri ile ndio ilikuwa vision yako nashindwa kuelewa ni yepi yaliyokusibu ushindwe kusimamia kauli ile? Maana yaliyotokea kipindi hiki cha miaka saba najuuta kukufahamu! Rekebisha mkuu this is your second chance tusikuhukumu ukileta katiba nzuri tutasahau madudu yote waliyofanya washikaji zako akiwemo jaji wa arusha na tutakukumbuka daima kwa taarifa mkuu hatuna cha kukumbuka kwa sasa zaidi ya ufisadi wa washikaji zako please don't loose this chance
thanks
naililia tanzania nchi inayojengwa na wenye moyo na kuliwa wenye choyo
thanks
naililia tanzania nchi inayojengwa na wenye moyo na kuliwa wenye choyo