Wana Jf naombeni mniwie radhi! hi ni kwasabab nimeposthi thread sehem ambayo sio yake, nimefanya hivi kwasababu nadhani hii ndio page inayotembelewa sana.
Jamani mimi baba yangu mzazi anaugua ugonjwa wa sukari, kiukweli umemtesa faza, manake alivyokua miaka minne iliyopita ni tofauti sana na sasa.
Baba amedhoofika kiafya, aliua taf, ila sasa ni mdhaifu. Hosital amekwenda, amepata ushauri na tiba pamoja na masharti yote na anayazingatia ila bado hali sio nzuri.
Nawaombeni waungwana kama mnafaham dawa za kienyeji ambazo zaweza tibu kabisa hii kitu ikaisha, au kama kuna mtu mnaemfaham naeweza kumwona (sio ushirikina).
Natanguliza shukrani zangu.
Jamani mimi baba yangu mzazi anaugua ugonjwa wa sukari, kiukweli umemtesa faza, manake alivyokua miaka minne iliyopita ni tofauti sana na sasa.
Baba amedhoofika kiafya, aliua taf, ila sasa ni mdhaifu. Hosital amekwenda, amepata ushauri na tiba pamoja na masharti yote na anayazingatia ila bado hali sio nzuri.
Nawaombeni waungwana kama mnafaham dawa za kienyeji ambazo zaweza tibu kabisa hii kitu ikaisha, au kama kuna mtu mnaemfaham naeweza kumwona (sio ushirikina).
Natanguliza shukrani zangu.